Mimi ni kijana wa miaka isiopungua 30 lakini kwa uwingi na ujazo wa nyuzi zilizoshiba kwa kiwango Pascal mayalla anastahili kupewa tuzo.
Though waliopo CCM na CHADEMA wanamchukia na kumpenda lakini Mimi binafsi naona ni mtu ambae amefungua bongo za waliopo CCM na CHADEMA hata Kama wanambeza...
Mji mkongwe wa kibiashara uliopo mpakani mwa Zambia na Tanzania ni Kama umetii amri baada ya shughuli zote kusimama huku Maelfu kwa maelfu ya wapenzi na wanachama wakiendelea kumlaki kwa nderemo na vifijo
Ni shangwe Tunduma haijawahi kutokea mapokezi ya kiongozi mkubwa wa chama cha aina yoyote...
Ni Kama tumekubali matokeo ya October 2020
Kuna dhana ya muda mrefu ya kwamba kimya kingi kimebeba mengi..Kimya kingi kinaweza kua kimebeba uoga,ujasiri,usiri,unyonge au hata umakini hafifu was kuishi kesho Kama leo.
COVID 19 Imetutoa kwenye mstari halisi wa tafakari nzito juu ya siasa na...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.