Owen chimela
Member
- Feb 24, 2012
- 85
- 219
Mimi ni kijana wa miaka isiopungua 30 lakini kwa uwingi na ujazo wa nyuzi zilizoshiba kwa kiwango Pascal mayalla anastahili kupewa tuzo.
Though waliopo CCM na CHADEMA wanamchukia na kumpenda lakini Mimi binafsi naona ni mtu ambae amefungua bongo za waliopo CCM na CHADEMA hata Kama wanambeza akiwakosoa na kuwashauri.
Siku nikija Dar es salaam natamani nikutane na huyu nguli wa chambuzi za kisiasa
Owen Chimela kutoka Mbozi Songwe
Though waliopo CCM na CHADEMA wanamchukia na kumpenda lakini Mimi binafsi naona ni mtu ambae amefungua bongo za waliopo CCM na CHADEMA hata Kama wanambeza akiwakosoa na kuwashauri.
Siku nikija Dar es salaam natamani nikutane na huyu nguli wa chambuzi za kisiasa
Owen Chimela kutoka Mbozi Songwe