Jitahidi ajichanganye...mnunulie viatu akimbie...ashiriki na wenzake kwenye michezo kama mpira wa miguu... mpe muda wa kujicganganya na wenzake atapata cha kujifunza. Utakuwa umemkuza kwa kumfungia sana.
Si enzi zetu.... tulijifunza ya utu uzima tukiwa utotoni utotoni.
Kibaba babaa kwa sana...
Akili mnawekaga wapi ? Sema vijana tunaoishi dar tuliojopata kimaisha tuliozaliwa hyo miaka hatuzeeki. Kuna watu wamezaliwa miaka hyohyo lakini wamechakaa wapo hapohapo dar then unalinganisha na Riz1 na wengineo walijipata. USI-GENERALISE BOSS
Kama mlikuwa na mgogoro wakati unaondoka inamaana haujaosha rungu master...na unakaa mda gani ili nimkadirie uvumilivu wake..? Siku nyingine kama huwezi kukaza usimnunie mwanamke.
Mwanamke ana software kichwani kwake inayohitaji update kila baada ya mda fulani. Zaidi zaidi usiache kumstua hata...
Hii huduma si inapatina hapahapa mlogamzila? Kilichompeleka huko ni nini ? Wakirudi huku na tako ndio wanamtingisha mmakonde wa watu aliyekuja dar kwa music. Wamzike hukohuko
Hakuna kitu hapo ndugu. Hawa watu bado wanaaplication za kwenye makaratasi ya elimu waliyosoma lakini sio akili zao za kibinadamu katika kutatua matatizo.
Hii nchi kuna sera nzuri za kilimo na umwagiliaji. Ukimuita waziri atakueleza vizuuuur mpaka kiasi cha maji kilichopo ardhini lakini hakuna...
Ni very simple kufahamu. Kuna aina za mawingu na sifa zake. Lakini pia kiasi cha humidity huweza kupunguza miale ya jua hado 60%. Dust on atmosphere, quantity of water vapour.nk Lakini hali hii haifany joto kupotea. Dunia ikipoteza joto lake kwa dk 3 hakuna maisha katika dunia.
Njia rahisi kumuelewesha kuhusu hili ni katika matumizi ya tochi kumulika. Mwanga wa tochi unavyomulika mbali utawanyika zaidi lakini mwangaza na ukali wa mwanga wake hupungua. Lakini ukiweka mkono karibu natochi mwanga utamulika sehemu moja kwamaana ya mwanga utakusanywa na intensity yake...
Mnaozungumzs kwa upande wa kukataa yawezekana hamjao na kuolewa. Lakini niwaambie tu ukiwa na pesa na ukishindwa kujiheshimu utaona kila kitu unaweza kufanya.
Ukweli ni kuwa yawezekana ameshakula secretary wote wanaomzunguka. Akawa anatafuta kitu kipya cha kujaribu.
Ofis ya Rais, ni taasis...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.