hii ni kweli na kwasiaasa za nchi yetu tabia hii ibapatikana kwa chama kimoja tu ambacho hakikuzoea kusikia maneno yaliyo na hoja tofauti na mtazam wa chama chao labda tuulizane nn haswa kazi ya vyama vya siasa au demicrasia ktk nchi yetu hii
gud muv nimemsikia akiongea redion yupo class 1but atamove hadi class3 atapiga stori na rafiki wake wa shuleni. I think viongozi wengine waige kuwa karibu na wananchi na kubwa kujuwa matatizo yao
Nimeona mjadala wa jana na hv ndivyo bunge linatakiwa mawazir wote walikuwa kimyaa kama wafiwa kwenye vitu vyao.big up sana kwa wabunge wote haswa vijana wa vyama vyote kwa mwendo huu inawekana
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.