Mimi ni binti wa miaka 27,natafuta rafiki wa kiume.
SIFA NILIZO NAZO.👇
Mimi ni mweupe, mrefu, mwembamba kiasi, elimu ya kawaida, mfanya biashara.
SIFA ZA RAFIKI WA KIUME ANAYE HITAJIKA👇.
(1)Awe mrefu
(2)Rangi yoyote.
(3)Dini awe mkristo au mwislam.
(4)Elimu form four kuendelea.
(5)umri...
Habari watu wa humu.
Nilikuwa nataka kujua hawa wanaojiita WAHUDUMU channel ni kweli wanaunganisha watu na ajira? Siyo matapeli?
Wananiambia ofisi zao zipo Manzese, kama Kuna mtu ashawahi kupata ajira kutoka kwao tafadhali naomba anieleweshe.
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.