Natumia TCB Popote App. Tar 01/07/2023 nililipia bidhaa fulani kutoka benk kwenda mtandao wa Tigo. Ikaonesha kuna Shida ya mtandao na kunidokeza nijaribu badae. Baada ya Saa moja hivi, nikajaribu ikaonesha kuwa salio langu halitoshi. Kicheki balance kiasi nilichotoa mara ya Kwanza kimetoka...
Habari.
Mtaalamu wa kutengeneza lesson plan forms ambazo walimu wa shule X watakuwa wanajaza online na kuweza kuprint (PDF) tafadhali tuwasiliane. 255621538913.
Pia inaweza ikawa application.
Heshima kwenu wataalam.
Nitakutumia. Ila mavuno Kwa mwaka Huu ni kuanzia mwezi September...! Na bei ya mwaka Huu tutaanza kuijua mwezi July. Ni biashara nzuri..! Wanunuzi WA mwanzo mwanzo wananufaika Sana. Kwa sababu wananunua kahawa Kwa bei ndogo koz watu wanakuwa na Shida na pesa.
Hopefully mko Sawa kabisa. Kuna kamsumari fulani kanaitwa (PUSH CLUTCH) Kwa mujibu wa fundi pikipiki. Huo msumari kazi yake ni:
Wakati unabana clutch, kenyewe Kule ndani kanasukuma ili kutenga na Gia ipate kuingia. Sasa nimehangaika mwezi sasa na pikipiki langu lipo Tu. Nimeshapigwa na wahuni...
Shida ni kwamba kila walichokuwa wanakizalisha kilipelejwa Nje kwenda kutengeneza material ya kutumia. Vibarua wa Kiafrika walifanya kazi Kwa mazingira magumu na ujira mdogo. Kila walichokifanya ni Kwa manufaa Yao na sio Kwa mwafrica
Kwa wale wanaotaka kununua zao la KAHAWA ya Maganda, muda ni sasa. Kipimo ni Dumla Kwa Sh. 4,000/=
Dumla inatoa kilo moja mpaka kilo mmss..wm,oja na robo ikiwa Kavu. Bei ya kilo Kwa kahawa Kavu ni 7,000/= na hiyo ni bei ya mwaka Jana. Mwaka huu unatarajiwa kuwa zaidi ya hapo.
Mimi...
Shida siyo nafasi. Mke wake alipaswa kuwa karani Kwa mjibu wa PDF kutoka NBS. Sasa mwl mkuu kafanya yake amempa Msimamizi wa maudhui. Maana yake ni kwamba, wale wasimamizi wa maudhui walipendekezwa na NBS wametemeshwa... Hii ni hatari Sana Hata kama wewe unaunga mkono. Kila MTU apate...
Huku kwetu Mbinga waliotuhoji ndio wamekuwa makarani na wasimamizi wa maudhui. Ukiuliza wao wanakuambia ni mwongozo kutoka NBS kuwa walimu wakuu na wakuu wa shule wao wanaingia moja Kwa moja awe ameomba au hajaomba. Inashangaza mno
Habari zenu wadau..
Jana nilinunua simu mpya ya infinix hot 12i. Cha ajabu baada ya kuweka lain haipigi wala hairuhusu kuangalia salio. Ila inaruhusu kupigiwa Tu.
Naomba wataalam mnisaidie. Nakwama wapi miee..
Wasalaam
Sisi ni shule Y. Tunahitaji wataalamu wa kudesign vitambulisho ili tupate kuwaandalia wanafunzi wetu.
Vigezo.
1. Viwe vigumu kama vile vya NIDA
2. Walao bei iwe nafuu
Kwa Majadiliano zaidi tafadhali 0621538913. Ahsante
Nina 5,500,000 tu. Kiwanja ninacho.
Sitaki tena kulipa Kodi mie. Nitafanikiwa kweli vyumba vitatu vya kulala na sebule?
Vitatu Kwa Sababu Nina watoto wa kiume na kike. Au nijenge kibanda cha aina gani?
Maisha is not fair
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.