Hana bikra huyoo kwanza msichana bikra hawi hivyo ni maigizo hayo Kuna kitu wanapaka bro hamna kitu hapo na unavyombembeleza ndio unaingia kwenye mitego yake we fanya kumpotezea uonee
Hata ww huna stara kwann umesema moja kwa moja jamaa anaroho mbaya yaani mtoto wa miaka Saba tulale nae kweli we unaakili kweli... Yaan kweli sisi wanaume mungu atusaidie kama ndio wanawake kama Hawa dah
Oya uboya kaka mwanamke alishatoka nje huyo hatakuheshimu hata siku moja na ukijichanganya kumuoa ndio itakua shida Sana...alafu nyie wanaume wenginee bhana ebu tafuta hela huyo mkeo hakueshim hata kidg itakua anakusaidia kulipa Kodi wewe
Mkwe sio watu mie baba ake wife alikua ananizoea Sana mara kila baada ya siku mbili simu nyingi salamu mara ya kwanza nilikua napokea ila nilivyoana zimezidi nikawa sipokei alafu namuuliza wife Mzee amepiga alikua na shida gani baada ya hapo akaacha kupika kwangu na akiwa na shida anamwambia...
Hamu ndio maisha yenyewe kaka yaani kusingekua na umuhimu kama sio familia na wale wanatuzungukaa kwahiyo bro omba mungu akupe kibali tu ili utoboe lakn si kwahiyo 300k tena hapa mjin dar
[emoji2][emoji2][emoji2] kijana acha kusikia maneno ya watu Kaa chini binafsi omba mungu alafu fanya uchunguzi binafsi pia jipe mda utajua ila bro kuwa makini mlokolee awezi kukupa mzigoo yawezekana ni muuni tu...
Hakukupenda huyooo bro.. yaani mtu kusikia maneno tu ya watu bila uthibitisho akwachee why na ndio maana alisema hakuingia miguu miwili kwako xo why wewe huumie
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.