Kufuatia taarifa ya Kifo chake Rais Samia Suluhu Hassan ameandika “Nimepokea kwa masikitiko taarifa za kifo cha Katibu Mkuu Kiongozi Mstaafu, Balozi Paul Rupia. Tumeondokewa na mtu aliyetoa mchango mkubwa katika masuala ya kidiplomasia, mageuzi ya kiuchumi na utumishi wa umma, na aliyeweka mbele...
Klabu ya Azam imemtangaza Denis Lavagne (58) Raia wa Ufaransa kuwa Kocha wao Mkuu akirithi mikoba ya Abdihamid Moalin, Lavagne ana uzoefu na soka la Afrika kwa miaka zaidi ya 14 toka alipoanza kuifundisha Coton ya Cameroon (2007-2011) na baadaye USM Alger ya Algeria.
“Hata haieleweki kimejibiwa kitu gani? Na kwa nini Issue ya Yanga uharaka wa kujibu unakuwa mkubwa mno?”
“Kanuni hizi hizi zilizombadilisha Chikwende Kwa Kahata?Kanuni hizi hizi zilizomhalalisha Kibu kucheza bila kupata uraia?
Shirikisho la Soka Tanzania (TFF) limefuta usajili wa winga wa Klabu ya Young Africans, Tuisila Kisinda kwenye orodha ya wachezaji 12 wa kigeni watakaocheza msimu huu.
Kwa mujibu wa TFF, usajili huo umefutwa kutokana na Klabu ya Yanga kuchelewesha usajili wake.
Waziri wa Fedha, Mwigulu Nchemba amesema wananchi ndio walioshauri Serikali ipanue wigo wa tozo za miamala kwa kujumuisha miamala yote ya kielektroniki, ili wananchi wote wachangie maendeleo.
Wengi wanapokosea: Hakuna mtu anayetaka kusikia kuhusu matatizo yako, ukipata fursa ya kuwasiliana na mtu aliye na fursa/anayefanya maamuzi uwe na proposal ambayo ina fursa kwake/inayoleta faida kwake, uwe na suluhisho la changamoto fulani inayomsibu, atakusikiliza!
Ninaamini baba hajafunga macho, kama alivyoniahidi, kuwa hata akifa hatafumba macho, na ninaamini katika maneno yake."
Unadhani ndugu wa Mrema watamuachia chochote?
Anaeleza kuwa AGOST 31, Siku Kama hii mwaka Jana, nilikuwa pabaya sana kwenye maisha yangu, matatizo bila suluhu, watu wangu wa karibu niliowaamini walinitelekeza, nilikuwa na mimba, peke yangu, kila kitu kinanitegemea mimi. Afya yangu ilikuwa na matatizo sana pamoja na mimba juu.
“Ilikuwa...
It is with great sadness that I learned of the death of one of the most influential political leaders of USSR/Russia, Mikhail Gorbachev. He will be remembered globally as an outstanding peacemaker and statesman. May his soul rest in eternal peace. Amen.
Billnass amesema “Mimi wakati mke wangu anajifungua nilikuwepo hospitali na nilimuona process zote ni kitu ambacho kilinitesa sana niliona ni nusu ya kifo, nililia sana kuna muda mwingine unaona hujui kama atakuwa salama, nimezidisha mapenzi niliyokuwa nayo kwa mwanamke wangu."
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.