Search results

  1. Infropreneur

    Nchi ipi ni muanzilishi na mmiliki halali wa jina Guinea?

    Kati ya Equitorial Guinea [emoji1095], Guinea [emoji1119], Guinea Bissau [emoji1120] na Papua New Guinea[emoji1195] Nani ni mmiliki halali na muanzilishi wa jina Guinea? Asili ya jina Guinea ni ipi? Chanzo cha jina Guinea ni kipi? Ilikuwaje nchi zote nne zikatumia jina moja Guinea lenye...
  2. Infropreneur

    Dunia haimuhitaji binadamu, binadamu anahitaji dunia

    Muharibifu namba moja wa Dunia ni binadamu, Binadamu akiangamia na kutoweka kabisa Dunia itanawiri. Uoto wa asili utastawi mimea, wanyama na viumbe hai wote watapata makazi bora na vyakula vya kutosha. Mazingira na mandhari itapendeza. Mimea na wanyama vikitoweka kabisa, Binadamu hana maisha...
  3. Infropreneur

    Prayer is an act of doubt, not faith

    If you really thought your God was watching over everything and you genuinely trusted in his "Plan" You wouldn't be praying in the first place. A person who prays is the one who thinks that God has arranged matters all wrong, Also who thinks that he can instruct God how to put them right...
  4. Infropreneur

    Theologians,Why is Sin an Automatic Inheritance But Salvation isn't, Even Though Both Happened Before You Were Born?

    Wana Theolojia, Kwanini mtu Anazaliwa na Dhambi na kurithi automatically, Lakini sio ukombozi? Ingawa vyote vilitokea kabla ya mtu kuzaliwa? Kwa nini mtu huyu asizaliwe na ukombozi tayari?
  5. Infropreneur

    Mbingu haipo, watu husema mbinguni kuna maisha mazuri lakini huomba waishi maisha marefu duniani

    Kama Mbinguni kuna maisha mazuri, Kwa nini uombe kuishi maisha marefu Duniani? Je, hutaki kufa uende huko Mbinguni kwenye maisha mazuri? Kama Hazina zetu zipo mbinguni, Kulikuwa na haja gani ya kuumbwa ulimwengu? Mbingu ni dhana ya kufikirika Haipo, Na hata uwezekano wa kuwepo kwake, Haupo...
  6. Infropreneur

    Why did God need a woman to create Jesus, But don't need a woman to create Adam?

    Why did he needs anything to create anything if he created the World out of nothing? Why?
  7. Infropreneur

    Kwanini Wanaoamini Uwepo wa Mungu, Hukosoa Hoja na Mawazo ya Atheist?

    Habari ndugu wana jamii forums. Kwa muda mrefu sana watu wasio amini uwepo wa Mungu "Atheist" wamekuwa wakipingwa, kukosolewa na kuonekana kama watu wa ajabu kutokana na mitazamo yao tofauti kuhusu swala la uwepo wa Mungu. Jamii ya watu wanao amini Uwepo wa Mungu na waamini wa dini mbalimbali...
  8. Infropreneur

    Mabishano ya kidini ni ujinga na kipimo cha uelewa mdogo

    Habari wakuu wana jamii forums[emoji112].. Moja kwa moja kwenye mada tajwa hapo juu napenda kuzungumzia suala la mabishano ya kidini baina ya waumini wa dini mbalimbali hasa dini kuu mbili zenye wafuasi na waamini wengi duniani Ukristo na Uislamu... Kwanza kabisa Binadamu yeyote anapozaliwa...
Back
Top Bottom