Search results

  1. farajagastomlamba

    Historia ambayo wengi hawaifahamu kuhusu Chuo Kikuu cha Makerere na Hospitali ya rufaa ya Mulago nchini Uganda

    Nikiwa katika mahafali ya wanafunzi waliohitimu masomo yao katika chuo Cha Kingdom Builders Bible Academy (KBBA) kilichopo Isole mkoani Geita tarehe 18/08/2022 ndipo nilipofahamu kwa ufupi historia ya chuo kikuu Cha Makerere na Hospitali ya rufaa ya Mulago iliyopo nchini Uganda” Faraja Gasto...
  2. farajagastomlamba

    Umuhimu wa kutunza kumbukumbu au historia

    Historia ni kumbukumbu ya mambo au matukio yaliyopita haijalishi ni mema au mabaya. Mtu binafsi, familia, ukoo, kabila, kampuni, taasisi, dhehebu, shule, chuo, wilaya, mkoa, kijiji n.k ina/ana/una/kina/linatakiwa kuwa na kumbukumbu au historia ya maandishi, picha na vitu mbalimbali. Historia...
  3. farajagastomlamba

    Baadhi ya mbinu zitakazomsaidia kiongozi kuendelea kukubalika

    1. Watumikie watu (uwe mtumishi wao). -Tafuta ufumbuzi wa kero au matatizo ya watu. 2. Wape watu maneno mazuri. 3. Wape watu majibu mazuri.
  4. farajagastomlamba

    Umuhimu wa kuwekeza kwa vijana kwa maslahi ya taifa

    Vijana wamepewa majina mbalimbali ikiwemo NGUVU KAZI YA TAIFA. Ukweli ni kwamba NGUVU KAZI ISIYO NA KAZI HAINA MANUFAA KWA TAIFA bali inazalisha matatizo mbalimbali katika taifa. Mtu mwenye hekima aliwahi kusema "fahari ya vijana ni nguvu zao" (Mithali 19:29) Kila taifa linatakiwa kutengeneza...
  5. farajagastomlamba

    Namna ya kuboresha elimu ya Msingi katika nchi ya Tanzania

    UTANGULIZI Awali ya yote napenda kumshukuru Mungu kwa ajili ya uaminifu wake katika nchi ya Tanzania, pia namshukuru Mungu kwa ajili ya kuniwezesha kuandika chapisho hili ambalo naamini litakuwa msaada katika kutoa mchango wa maboresho ya elimu ya msingi na mitaala ya elimu katika nchi yetu ya...
Back
Top Bottom