Ni kweli huyu mpuuzi amechanganyikiwa maana ana roho ya kichawi kwa anayo yafanya,bota aende akaungane wenzie wakina Mtela Mwampamba,Habib Mchange na Juliana Shonza maana aliwatia roho ya usi kwa mkono wake
Ni kweli kabisa Mh Mbowe ana busara sana na siyo wengine wanaokurupuka kuzusha mambo kama wenda wazimu ili wasikike kumbe ukimbukeni wa siasa na vyeo unawasumbua hata ukiangalia michango ya Mh Mbowe na waropokaji kama Mwigulu ni tofauti. Mwigulu hana busara za uongozi
Kaka hata mim nilikuwa nasumbuliwa na,vidonda vya tumbo na nilihangaika sana kutumia dawa za hospital lakini sikufanikiwa ila kuna mtu anismbia nitafune vitunguu swaumu asubihi,mchana na jion na nikafanya hivyo sasa sijambo kabisa na havinisimbui . vitunguu SWAUMU ni dawa sana tena ulcers...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.