Sitaki kuwachosha niende kwenye lengo moja kwa moja,
Ni wiki ya pili sasa napatwa na joto ikiambatana na baridi kali kichwa kuuma viungo vya mwili kuuma mda mwingine kuchoka hamu ya kula sina.
Nimeenda Hospital nimepima naambiwa sina ugonjwa wowote lakini hali ni taiti sana.
Msaada jamani...
Wapendwa sitaki kuwachosha wakati wenyewe tulishachoshwa na maisha, niende moja kwa moja kwenye malalamiko.
Jamani hii sasa sio kero bali ni tatizo kwetu sisi wateja wa CRDB tawi la Turiani sio ndani wala ATM panapofanyakazi, ndani ntiti nje ntiti yani ndani kumefungwa na nje [emoji763] ujumbe...
Wakuu nina kisa hapa naomba kuwashirikisha mnishauri namna ya kuamua au kufanya,
Sio mwandishi mzuri na maelezo ni marefu usichoke kusoma pengine unaweza jifunza kitu, twende,
Miaka 5 iliyoisha nilikutana na binti huko moja ya mikoa ya kanda ya ziwa tukaanzisha mahusiano yaliopelekea kapata...
Poleni na harakati za siku nzima,
Ndugu zangu kesho natarajia kusafiri kutoka mkoani kuja Dar, nitakuwa hapo kwa siku 14 kikazi.
Eneo la kazi litakuwa (JNIA) Julius Nyerere International Airport,
Vitu ninavyopenda kujua na kuelekezwa ni pamoja na,
Kutoka stand nitakapofikia kwenda hapo...
Habari wadau!!
TV yangu aina ZUNNE inch 32 nikiiwasha inawaka mara moja tena sekunde halafu inazima na haioneshi picha kabisa tatizo limeanza leo majira ya saa 5 asubuhi
Tatizo linaweza kuwa ni nini, msaada wenu wakuu.
Habari wakuu,
Ndugu zangu natarajia kwenda Morogoro wiki hii kikazi, sijawahi kufika na sipajaui natokea Njombe.
Napenda kujua hali ya hewa huko, watu wa wilaya hiyo upatikanaji huduma za jamii.
Mwisho nikiwa natoka Njombe ni gari gani nipande na nishukie wapi ambapo ni rahisi kufika.
Asanteni.
Habari wanaJf
Niende Moja kwa kwenye kero yangu,
Ndugu zangu kama ni matumizi mabaya ya pesa za umma basi serikali yetu inaweza kuwa moja wapo kwa matumizi mabaya.
Inakuaje serikali hiyo hiyo moja ilipeleka miundombinu ya maji ama umeme eneo fulani la makazi ya watu mwaka mmoja au miwili...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.