Wegr
JF-Expert Member
- Apr 27, 2022
- 224
- 579
Poleni na harakati za siku nzima,
Ndugu zangu kesho natarajia kusafiri kutoka mkoani kuja Dar, nitakuwa hapo kwa siku 14 kikazi.
Eneo la kazi litakuwa (JNIA) Julius Nyerere International Airport,
Vitu ninavyopenda kujua na kuelekezwa ni pamoja na,
Kutoka stand nitakapofikia kwenda hapo airport usafiri upo wa moja kwa moja au ni panda shuka(umbali)
Nikiwa maeneo jirani na airport kuna nyumba za kulala eneo jirani ama?
Sijawahi kufika kabisa napenda kujua mengine mengi
Asante
Ndugu zangu kesho natarajia kusafiri kutoka mkoani kuja Dar, nitakuwa hapo kwa siku 14 kikazi.
Eneo la kazi litakuwa (JNIA) Julius Nyerere International Airport,
Vitu ninavyopenda kujua na kuelekezwa ni pamoja na,
Kutoka stand nitakapofikia kwenda hapo airport usafiri upo wa moja kwa moja au ni panda shuka(umbali)
Nikiwa maeneo jirani na airport kuna nyumba za kulala eneo jirani ama?
Sijawahi kufika kabisa napenda kujua mengine mengi
Asante