UNDERSTANDING YOUR WOMAN!!!
Many men make the mistake of wanting their wives/women to be like them, forgetting we were not created with the same raw materials. A man was formed from the dust but a woman was made from bone, hence we cannot behave or think alike.
An average woman wants to be...
Shule ya kwanza matokeo ya kidato cha sita, Kemebose kutokea Kagera Tanzania wakisherekea matokeo yao kwa kuzunguka mji mzima!.
Sent from my TECNO BD4j using JamiiForums mobile app
Habari za leo! Nauza simu yangu halali na mteja atapatiwa risiti halali,nimekwama mahala naona simu yangu sasa inaweza kunisaidia kujikwamua.
Name: TECNO POP5 PRO.
Ram:2
GB:32GB.
KIPENGELE:HAMNA.
BEI:200K.
FULL BOX:chaja,kava la simu ,earphone na risiti .
Contact:0743567159
Location DSM, Temeke...
Ndugu samahani, najua mko bize na kutafuta mkate wa siku! Nilikua naomba ushauri wenu baada ya matokeo kutoka Mdogo wangu yeye amepata kama ifuatavyo katika tahasusi yake ya CBG.
GS.D .CHEM . E BIOS .E NA GEO. D BAM F.
DIVISON 3 YA 14.
Je, ningependa mnishauri akasomee kitu gani? Na je...
"DIGITAL EDUCATION."
Pata SOFT COPY YA VITABU VYA T.I.E. masomo yote kuanzia darasa la awali hadi la saba. SWAHILI MEDIUM & ENGLISH MEDIUM.
Bei zetu ni nafuu kabisa 1000/= kwa somo moja na darasa moja.
O-LEVEL ni 1500/= kwa kila kitabu kwa darasa moja.
Pia tuna summary kwa o level.bei 1000
A-...
Habari!? Poleni na mahangaiko ya leo.Nahitaji vitabu kama 10 per pair kwa vitabu tajwa hapo juu.
Napatikana Temeke Dsm.
kama unavyo tuwasiliane.
Natanguliza shukurani.
Salaam kutoka BUKOBA HOPE LUTHERAN SEC SCHOOL YA ELCT BUKOBA. Naomba ikiwa mtu ana Mwl wa Mathematics na Physics mwenye Diploma au Digrii ya kwanza, amwambie awasiliane na Mtaaluma 0759742310 au Uongozi wa Shule ili ajiandae kuja usahili kuanzia hata kesho.
Tunahitaji Mwl mmoja kwa sasa. Mchg...
Jamani habari zenu!?
Kuna Sister mmoja ni msusi mzuri tu(mitindo yote) anapatikana DSM maeneo ya kongohe, anatafuta sehemu ya kazi ya ususi, kwa hiyo kama kuna mtu anasehemu au ana connection basi naomba tuwasiliane.
Natanguliza shukurani!.
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.