Moshi Kilimanjaro
Kijana wa miaka 28 Anatafuta kazi Moshi-Kilimanjaro
Kamaliza Internship ya Medical Doctor
Yuko tayari kufanya kazi yoyote halali ndani ya Moshi
Sex: Me
Age: 28
Location: Moshi Kilimanaro
Degree Medical Doctor
Tutor at College (Public Health)
Teacher at Secondary School (Biology...
Habari wanaJF
Leo nakuja na swali.
Imekuwa jambo la kawaida na kushangaza pale unapoona vijana mabachelor wakati wa kuoa uoa wanawake wa kawaida sana ilihali imezoeleka enzi za ujana wake hasa alikuwA akizichakata pisi kali sana. Hii imekaaje watalaam wa mambo.
Ni kwamba kuna wanawake wa...
Habari Wanaume Wa JF
Kama unavyojua hulka ya mwanaume ni kutamani na kutongoza popote anapopata nafasi. Lakini kwa wanaume wanaojua sifa za mademu wanaowataka hatongozi tu hasa akiona kuna kitu hakijamvutia kwa mwanamke.
Achana na maumbile tunaongelea yale mambo wanayojiongezea au kuyapunguza...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.