Daktar anapoingia chumba chenye wagonjwa tofauti tofauti halafu wote akawapa dawa ya malaria hii inamana kuwa watakao pona ni wenye malaria tu wengine atakuwa hajawasaidia.
Hicho ndio kinacho tokea shuleni kwa sababu Tiba inayotolewa inalenga kuwa tibu wanafunzi wenye logical na linguistic...
Kuwa mbunifu ni kuvunja sheria kanuni na taratibu bila kuwa na hatia yani ni kufanya tofauti na mazoea
Kama utafanana na wengine nani atahofia kukupoteza
Lazima uwe tofauti na wengine ili uongeze thamani pia jifunze sana Lakin jitahidi watu wakujue maana asiyekujua hakuthamini
Jichanganye na...
Wanaofanikiwa sana kwenye Ulimwengu wa biashara sio wanaouza bidha ni wanaouza bei ya bidhaa.
Watanzania tunapenad kutumia kitu kwa wakati mdogo kukidhi haja ya muda tu na sio milele ili ufanikiwe katika biashara uza bei ya kitu.
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.