Msaada hauhusiani na elimu wala kitu kingine chochote! Msaada ni ule ushirikiano anaoamua kujitoa mtu Kwa mtu Kwa kitu ambacho Hana au kuwa na uwezo Nacho. So nashangaa maswala ya elimu yanakujaje tena hapa
Wanasema bidhaa inaanza na ujazo wa 3BV, 5BV, 10BV n.k...
Bidhaa zenyewe ni kama hizo ulizosema! Saa, vipodozi, vifaa vya majumbani n.k... Halafu eti utapata kutokana na watu utakaowaleta nao wajiunge kwenye hiyo QNET Yao! Eti wakaniambia kuna Jamaa alikuja juzi Tu Ila sasa hivi ameshanunua gari...
Sawa!
Ila mkuu, tofautisha ubongo na akili/uelewa. Kila mtu ana ubongo Ila sio kila mtu ana akili/uelewa sawa.
Ubongo ni kama memory card! Memory card ni kifaa ambacho unapokea na kuhifadhi vitu kama picha, nyimbo, videos n.k...
Pale memory card unaponunua inakuwa haina kitu kabisa! Sasa...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.