Kiraka
JF-Expert Member
- Feb 1, 2010
- 3,839
- 3,082
Lakini pia wale ni wazazi wako acha kuwasusia eti kwakuwa hawaongei sijui, wanakupenda naamini, sema wanakuona bado mtoto. Jaribu kuwa karibu na kuongea nao, haswa mamako, pia baba wengi ukiongea nae atakusikiliza tu, mwambie challenge zako lazima atakusikiliza, hata kidogo siamini kuwa hawakupendi.Asante kwa ushauri ndugu