Haswaa! Huu ni wakati wa viongozi kufanya kazi kwa reason na siyo experience.Experience ya vitisho vyao ndo imetufikisha hapa.Pamoja sana madaktari na mzidi kukaza uzi.
Siku zote naamini kuwa Pinda alipewa u- PM kwa sababu hakuwa na makandokando,lakini ukweli ni kuwa Pinda si kiongozi mzuri.Wananchi wanalia, walimu wanalia, madaktari wanalia nk halafu anaunga mkono ongezeko la posho kwa wabunge.Huyu si mtoto wa mkulima bali ni mtoto wa posho.
Hapo ndo utagundua ni jinsi gani sisi ni kizazi cha nyoka.Haimithiriki kwa mtu kuwa mgonjwa au kuwa mlevi halafu wanajamii wanaanza kushikana ulozi badala ya kushikana akili juu ya nini kifanyike ili muathirika arudie khali yake ya kawaida.
Ushauri wangu:kwanza, huyo baba yetu anatakiwa...
Kimsingi si busara na ni ukame mkubwa wa hekima kuanza kumbeza marehemu kwasababu ati alikuwa wa kundi fulani na hivyo hakuwa mwenzetu.Kama kweli kuna mwana- cdm au hata mtu baki katuma hizo threads basi atambue kuwa hajamtendea haki marehemu.Na hiyo ni sawa na wanafamilia kuanza kujadili suala...
Regia ni mshumaa uliokuwa umeaanza kuwaka na kuangaza ndani ya nyumba ghafla ukazimika.Ni mengi mazuri aliloyaasisi na kuyasimamia. Hivyo ni jukumu letu kuyaenzi na kuyasimamia pia.
Zingatia ukimwi ulivyoenea na unavyozidi kutafuna nguvu kazi ya Tanzania je, bunge likitunga sheria ya kuwa kila wawili wanaotaka kufunga ndoa wapimwe afya zao juu ya VVU sheria hiyo itakuwa halali? kwa maslahi ya nani?. Na kama haitakuwa halali ni kwa maslahi ya nani?
Hivi vyuo vikuu Tz kunani? Na je, tume iliyoundwa na rais wa Tz kutafuta ufumbuzi wa matatizo ya vyuo vikuu haikutoa ufumbuzi wa kweli? Ushauri wangu:tatizo la udsm titafutiwe ufumbuzi wa haraka na usiwe ufumbuzi utakaowaathiri wanafunzi.
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.