Kwel kabisa mkuu yalishanikuta kunadogo alikuwa mkoan sasa mimi likuwa kwenye kampun frani ya bas dogo alinitinga sana nimtafutie kaz yoyote kwenye kampun hadi baba yake alikuwa ananitinga sana nikaona sio kes dogo nikamsogeza sasa kilichonikuta Mungu anajua
Mkuu hii kitu ndio nilikuwa nayo mm miaka mitatu iliyo pita nilikuwa nashinda baa michongo yangu yote inaenda kama kawa mbaka nikafanikiwa nikajenga kunaishu ilinitokea ya kuugua kiajabu ajabu tu nikaacha mtungi kipindi hicho nilikuwa siamin mambo ya kulongwa kabisa lkn toka nimwacha mtungi...
Mkuu shida yote ya nn haya makitu sio yakuyaamini hata chembe kuna bro wangu alikuwa na pigo hizo hizo kwa wife wake lkn yaliyo mkuta Mungu tu ndio anajua
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.