Tayson7
Member
- Oct 4, 2021
- 19
- 28
Alafu hapo hapo mkuu jamaa kama anaishi vizur na shemej zake kwa nn asiwaulize kunashida gan?huko singidaMkuu huko ni mbali sana kuitwa bila kupewa sababu, yani leo ndugu yako yuko mkoa aseme njoo haraka ukija nitakuambia sababu ya kukuita we unaweza kwenda?? Haiingii hata akilini upoteze nauli bila kujua why unaenda mkeo genius.