Kani-snitch nimemuundia tume, nasubiri kama ataendelea kuni-snitch

Zero IQ

JF-Expert Member
Dec 21, 2016
13,916
24,674
Kuna huyu binti snitch snitch alipeleka umbea kwa mpenzi wangu kwamba kaniona niko na binti mwingine naenda kumsaliti Lodge. Kiufupi alileta tafrani kubwa sana ukizingatia mpenzi wangu mwenyewe ndio kwanza ametoka kujifungua tu siku kadhaa.

Baada ya hayo nilimfata na kumuonya lakini nikaona bado anazidi kupeleka umbea umbea wake. Nikakaa chini, kikao na Serikari kuu ya kichwa changu nikaja na maamuzi ya kummenya na yeye ili aende akajitolee umbea kama anaweza.

Kwanza nilipanga mikakati jinsi ya kumtia nyavuni haraka sana akajaa. Kitu kuu nilitarget namba yake na kwa Jeuri nilimuomba yeye mwenyewe face to face.

Kilichofata nikamtongoza kimasihara akajaa, nikamuomba apointment akajaa. Leo hii jioni nimetoka kumtafuna, na kwa jeuri nimemtafuna kisawa sawa.

Sasa Nasubiri usnitch wake kama bado ataenda kunisnitch tena kwa wife kama naye nimemtafuna. Nipo na popcorn hapa nikisubiri kesi kutoka kwa wife kama ataletewa.


Cc Zero IQ
 
Kwanza nilipanga mikakati jinsi ya kumtia nyavuni haraka sana akajaa. Kitu kuu nilitarget namba yake na kwa Jeuri nilimuomba yeye mwenyewe face to face.

Cc Zero IQ
Mkuu umeshindwa kuelewa picha halisi, sio yeye amejaa.. wewe ndio umeingia kingi ukajaa mpaka ukafurika.

Huyo alitaka umle siku nyingi ndio maana alianza hizo habari za ajabu. Na alijua maamuzi utakayochukua ni kumtafuna na yeye.

Pole kwa kuingia kingi.
 
Kuna huyu binti snitch snitch alipeleka umbea kwa mpenzi wangu kwamba kaniona niko na binti mwingine naenda kumsaliti Lodge. Kiufupi alileta tafrani kubwa sana ukizingatia mpenzi wangu mwenyewe ndio kwanza ametoka kujifungua tu siku kadhaa.

Baada ya hayo nilimfata na kumuonya lakini nikaona bado anazidi kupeleka umbea umbea wake. Nikakaa chini, kikao na Serikari kuu ya kichwa changu nikaja na maamuzi ya kummenya na yeye ili aende akajitolee umbea kama anaweza.

Kwanza nilipanga mikakati jinsi ya kumtia nyavuni haraka sana akajaa. Kitu kuu nilitarget namba yake na kwa Jeuri nilimuomba yeye mwenyewe face to face.

Kilichofata nikamtongoza kimasihara akajaa, nikamuomba apointment akajaa. Leo hii jioni nimetoka kumtafuna, na kwa jeuri nimemtafuna kisawa sawa.

Sasa Nasubiri usnitch wake kama bado ataenda kunisnitch tena kwa wife kama naye nimemtafuna. Nipo na popcorn hapa nikisubiri kesi kutoka kwa wife kama ataletewa.


Cc Zero IQ
We kweli baharia uliyebobea
 
Back
Top Bottom