Ukimpata binti bikra muoe Kisha mfungulie duka chap kwa haraka

Kwa Hali ilivyo ya Sasa aisee inasikitisha Sana tumekuwa Malaya mno yaani wanawake wanajiuza balaa direct na indirect na hasa wake za watu siwadanganyi asee mwanamke ukimsumbua kidogo tu anakupa mzigo Tena ukiwa na chambichambi kidogo utawala Sana.

Solution hapa naona mosi ukitaka kuoa tafuta binti bikra halafu ukimtoa bikra muoe fasta halafu mfungulie biashara ambayo hawezi kutoka mchana kwenda kuzurura na hasa duka au kibanda Cha m-PESA ukitoka kazini Kwako unampitia dukani mnaenda kulala..hio itasaidia Sana na itapunguza risk ya kugongewa kwa asilimia 60..

Ishu hapa Ni namna ya kumpata huyo bikra hapo ndo pakuumiza Kichwa tushauriane wakuu mbinu za kumtafuta bikra.me Nina wazo kwamba unaenda vijijini unaongea na wazee hasa mabibi unamwambia kabisa unatafuta mwali ambaye Ni kigori nina uhakika wanajua wapi pa kuanzia.
Hapahapa dar nimepata bikra tena katika mazingira ya kutatanisha na ulichokiandika hapa ndio nilichokuwa nawaza kufanya.......

Sent from my Infinix X656 using JamiiForums mobile app
 
Kuna baba mmoja alikuwa na pesa hakutaka mkewe afanye kazi,kila kitu akawa anampatia,mwisho wa siku akamfuma na houseboy wake,alitoa chuma amshut bahati yule kijana akafanikiwa kukimbia,akampiga mkewe kisawa sawa,lkn mke alikuwa ashanogewa na yule kijana akatoroka kumfata
Mwisho mke na mume wakaachana na pia gonjwa likawatoa kwenye dunia hii,na yule houseboy kumbe nae alikuwa njia moja nae alilala mauti
Mke na mume Tunapewa na Mungu ni kiasi cha kuomba
Biblia iliandika wanaume ili waishi na wanawake wanatakiwa watumie akili
Jiulize why

Ukisoma hizi habari
Unaweza usiowe nakuambia
 
Kwa Hali ilivyo ya Sasa aisee inasikitisha Sana tumekuwa Malaya mno yaani wanawake wanajiuza balaa direct na indirect na hasa wake za watu siwadanganyi asee mwanamke ukimsumbua kidogo tu anakupa mzigo Tena ukiwa na chambichambi kidogo utawala Sana.

Solution hapa naona mosi ukitaka kuoa tafuta binti bikra halafu ukimtoa bikra muoe fasta halafu mfungulie biashara ambayo hawezi kutoka mchana kwenda kuzurura na hasa duka au kibanda Cha m-PESA ukitoka kazini Kwako unampitia dukani mnaenda kulala..hio itasaidia Sana na itapunguza risk ya kugongewa kwa asilimia 60..

Ishu hapa Ni namna ya kumpata huyo bikra hapo ndo pakuumiza Kichwa tushauriane wakuu mbinu za kumtafuta bikra.me Nina wazo kwamba unaenda vijijini unaongea na wazee hasa mabibi unamwambia kabisa unatafuta mwali ambaye Ni kigori nina uhakika wanajua wapi pa kuanzia.
Kijijini ilikuwa zamani, sio Sasa..Darasa la sita tu, wameshaliwa mbususu. Boda boda maisha magumu,kuwepo kwa umeme,tv,smart phones,tamaa nk kumeondoa kabisa maadili vijijini. Na ukijichanganya kuleta mjini umewaletea boda boda na wauza maduka ya Mangi.
 
Sawa lakini assume mnatoka naye asubuhi nyumbani akifungua ofisi anafanya kazi na unaweka mazingira asitoke asifunge ofisi mchana.halafu hio ofisi iwe mazingira ambayo guest sio karibu na una mpa mdada wa karibu posho kazi yake Ni kuhakikisha bodaboda akimpakia tu mkeo huyo mdada akupigie simu ufuatilie
Mkuu shida yote ya nn haya makitu sio yakuyaamini hata chembe kuna bro wangu alikuwa na pigo hizo hizo kwa wife wake lkn yaliyo mkuta Mungu tu ndio anajua
 
Sawa lakini assume mnatoka naye asubuhi nyumbani akifungua ofisi anafanya kazi na unaweka mazingira asitoke asifunge ofisi mchana.halafu hio ofisi iwe mazingira ambayo guest sio karibu na una mpa mdada wa karibu posho kazi yake Ni kuhakikisha bodaboda akimpakia tu mkeo huyo mdada akupigie simu ufuatilie
Hata ukimfunga kwa chain ya kufuli then funguo uondoke nayo wewe,sisi tutamgonga tuu.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Kwaiyo unaoa dem mwenye bikra au mwenye tabia nzuri ?

Huo utoto wako peleka kwenye ps3

Nilikuaga na kadem nilikokatoa bikra
Kalikuw kanaomba Ela Asubui mchana jioni Kama ratiba ya dozi ya malaria kajeuri ako .. she was totally trash .. muombe mungu akupe mke mwema bas... Over
 
Back
Top Bottom