Je hii kitu inawezekana?

Wakuu kwema?

Nisiwachoshe sana na tantalila nyingi.....

Iko hivi huyu manzi sijamtongoza wala nini, ni kama rafiki yangu tu japo sio ule wa ndani kaviile. Mbinu niliyotumia ni kwamba nimemuomba anisindikize kwenye ki sherehe(hapa hakuna cha sherehe wala nini) flani umbali kilomita 2 tokea napoishi
Na akikubali nimpitishe geto nichukue kamera ya kupigia picha, kufika humo ndani nimbadilikie kabisa kwa lolote lile ikiwemo aliwe kabisa......

Tatizo sijamtongoza!
je anaweza kuchakatwa bila kutongozwa?

NB:Sina uzoefu sana kwenye masuala ya uchakataji
Jela itakuhusu soon🏃.
 
Nahitaji jibu langu, ungekuwa wewe ni huyo mwanamke kwenye mazingira hayo ungechakatwa?
Kisheria hapo unajiingiza kwenye jinai ya ubakaji, na hukumu yake endapo ushahidi ukithibitika wa kukutia hatiani ni kifungo hadi miaka 30 jela.
Kua makini chalii yangu nyege zisije kukupeleka kwenye majuto yasiyokwisha.
 
Mrejesho

Nimesoma maoni ya wadau humu nikaamua liwalo na liwe hata akinikataa mimi sio wa kwanza kupigwa za uso 😅. Leo asubuhi nimetext kabla hajaenda kanisani tukutane mahala akasema poa.
Alivofika nikaenda moja kwa moja kwenye point. Majibu na masharti yalikuwa hivi

1. Amenikubali ila tufanye kwa siri maana nyumbani kwao na kanisani wanajua ametulia na hana mambo ya wanaume.
2. Tukapime afya hospitali, hili nilkubali 100% na majibu yalikuwa kama tulivyotarajia
3. Asiskie skendo zozote kama natoka na mabinti wengine

Juma tano na j pili ndo tutakuwa tunakamilisha agano letu kwa mujibu wake maana ni siku za soko, siku nyingine anabanwa sana na kazi

Daah sema wakuu kutongoza ni zaidi hata ya pepa la NECTA sio kwa nilivyosweti vile leo, bahati nzuri alikuwa hanitazami machoni
 
Kuna ujinga wa kupitia ila sio UBAKAJI.
Huo ni ubakaji unaotaka kufanya, unakuja kuomba ushauri.

Vijana mnafeli wapi? Mtongoze au domo zege? Au nenda kasome uzi wa kula kimasihara utapata ideas ila sio hiyo.
Nimeghairisha mkuu maana kule jela ni pa kuskia tu redioni usiombe ikutokee
 
Wakuu kwema?

Nisiwachoshe sana na tantalila nyingi.....

Iko hivi huyu manzi sijamtongoza wala nini, ni kama rafiki yangu tu japo sio ule wa ndani kaviile. Mbinu niliyotumia ni kwamba nimemuomba anisindikize kwenye ki sherehe(hapa hakuna cha sherehe wala nini) flani umbali kilomita 2 tokea napoishi
Na akikubali nimpitishe geto nichukue kamera ya kupigia picha, kufika humo ndani nimbadilikie kabisa kwa lolote lile ikiwemo aliwe kabisa......

Tatizo sijamtongoza!
je anaweza kuchakatwa bila kutongozwa?

NB:Sina uzoefu sana kwenye masuala ya uchakataji
So unataka kumbaka?
 
Wakuu kwema?

Nisiwachoshe sana na tantalila nyingi.....

Iko hivi huyu manzi sijamtongoza wala nini, ni kama rafiki yangu tu japo sio ule wa ndani kaviile. Mbinu niliyotumia ni kwamba nimemuomba anisindikize kwenye ki sherehe(hapa hakuna cha sherehe wala nini) flani umbali kilomita 2 tokea napoishi
Na akikubali nimpitishe geto nichukue kamera ya kupigia picha, kufika humo ndani nimbadilikie kabisa kwa lolote lile ikiwemo aliwe kabisa......

Tatizo sijamtongoza!
je anaweza kuchakatwa bila kutongozwa?

NB:Sina uzoefu sana kwenye masuala ya uchakataji
Inawezekana kwa mujibu wa uzi pendwa unaweza jisomea hapa Ulishawahi kula tunda kimasihara?
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom