Ntakutafuta tufanye biashara, I hope bei zenu ni affordable Kwa mtaanzania wa kawaida! Sio bei za kifisadi wala za kitaliii....! I'll give you a call very soon.
Weka namba ya simu hapa tufanye mawasiliano! Inawezekana kabsa tukafanya biashara! Mambo ya PM ya nini wakati unafanya biashara halali - weka contacts zako hadharani!
habari wadau!
Msaada wadau, nimeangusha simu yangu aina ya iPhone 4S, na imepatwa na tatizo la display! Inavyoonekana vitu vingne vina- function Kama kawaida. Mtu akipiga simu inaita Kama kawaida na maongezi yanafanyika Kama kawaida, tatizo ni display tu haioneshi kitu, kumetokea Kama three...
Mbona kuna job positions kibao serikalini na private sector watu wanaajiriwa bila ya experience yoyote, tena wakiwa wabichi kutoka chuo! Suala la experience inategemea na job positions unayoomba, na haliepukiki! Sasa wewe unataka uajiriwe hata kwenye
Managerial positions kama u-director bila...
Njunwa wa mavoko, nimejaribu ku-connect hii internet kwenye iPhone (iOS 7), mida flan ya mchana ilikuwa powa, lakini kwa sasa kila nikijaribu inakataa. Nimebadili sever kibao, lakini bado bila bila. Msaada kwa hii issue will be highly apreciated. hapaa inaonekana kama vile hivi
mimi nimejaribu kutumia hiyo mhotspot, and then nikajaribu na mypublicwifi lakini zote zimekataa. Inaonyesha simu yangu imekuwa connected na signal za internet zipo full, lakini nikijaribu kufungua page yoyote inakataa. Msaada tafadhali. Simu ninazotumia ni iPhone4 pamoja na iPhone4S.
Njunwa wa mavoko salute nyingi saana kwako!
Nilikuwa kwenye hizi internet za kupima kwa vibaba za hawa jamaa, na tunadanganya ni unlimited kumbe uzushi mtupu. Kama kuna mtu anataka unlimited internet ya ukweli, hiii ndo yenyewe! Mimi nimeikubali, hii ni wiki ya pili sasa natumia kitu unlimted...
To mama wawili and other members who are interested to improve their English comprehension.
I find this site very useful and would like to share with you guys.
Please CLICK HERE
Cheers,
Ishina.
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.