Search results

  1. J

    Ushauri: Ukiyafanya mambo haya saba kwa usahihi ni rahisi kutimiza ndoto zako

    Habari za muda huu watanzania wenzangu natumaini nyote mko salama, leo napanda jukwaani nikieleza kwa uchache mambo unayotakiwa kuyafanya kijana ili uweze kutimiza ndoto zako au malengo yako iwe ni katika biashara, kazi, nasomo, nk. 1. Muombe Mungu na umshirikishe unachotaka kukifanya, kwa...
  2. J

    #COVID19 Wananchi waelimishwe zaidi ili kuondoa dhana potofu juu ya chanjo ya Covid-19

    Imeandikwa na JEC Dunia ina mengi nayo mengi hayana maana, ni msemo ambao unatumika kwa muda mrefu hapa nchini kwetu, lakini kwasasa jambo linalosemwa kwa maneno mengi yasiyo na maana ni chanjo ya kujikinga na maambukizi ya virusi vya Covid-19. Kila mtu amekuwa na lake la kusema iwe ni mtaani...
  3. J

    Katiba Mpya ni msingi wa maendeleo ya jamii tukiipata tumepata mkombozi

    Na Chu Joe Leo nataka tuzungumze kuhusu umuhimu wa katiba mpya lakini kabla ya kuelezea kuzungumzia hilo ngoja nikueleze maana ya katiba ambayo ni mkusanyiko wa sheria mama inayoainisha misingi mikuu ya kisiasa na kuonyesha madaraka na majukumu ya serikali. Baada ya kipindi kirefu kupita...
Back
Top Bottom