Huyo mwalimu kawapotosha namba witiri sio inayogawanyika kwa 3.
Mfano 5 na 7 ni witiri lakini hazigawanyiki kwa 3.
Ili ueleweke vizuri ni sawa kuwaambia ni namba inayogawanyika kwa mbili na kubaki moja kama ulivowaambia.Lakini vipi mwanafunzi akikuuliza mbona 1 ni namba witiri lakini...
Sio Zamani Sana Kama 11 Years Back.
Anaweza Kupata Nafasi Ya Special Schools Coz A Za Phy Zimekuwa Adimu Sana Miaka Ya Karibuni.
Mwaka Jana Kuna Dogo Alikuwa Na Iyo Iyo CAA Na Akaenda Special School.
Mtu akifeli darasa la saba ndio dhaifu kitaaluma?
Si alirudia na kufaulu vizuri.
Mbona watu mbalimbali bora kabisa kwenye sekta zao walifeli na kurudia na wakafanya vizuri sana.
Yote kwa yote maelezo mazuri inatakiwa uchunguzi wa hali ya juu CWT.
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.