Kama ana C ya physics O level na ufaulu wake huo nahisi Hilo somo litamtesa huko mbele, kwa nn asisome CBG?? manake A level physics mziki wake mnene sana, ni ushauri wangu tuSamahani ndugu zangu!
Naomba kuuliza, Kuna dogo langu amepata division one ya 8, ila combination anazotamani kusoma yaan PCM,PCB na PGM, ufahulu wake ni (CAA) make Physics ana "C " afu hayo masomo ni "A".
Swali langu ni je anaweza kupata nafasi kwenye hizo shule za vipaji maalumu?