Pettymagambo
JF-Expert Member
- Aug 21, 2017
- 1,434
- 7,925
- Thread starter
- #861
Imeandikwa...waovu hukimbia pasipo kukimbizwa
Imeandikwa...waovu hukimbia pasipo kukimbizwa
🤣🤣 I am a straight manMkuu samahani punguza shobo unaponiona.
I am a straight man!
Kalale bhabha.Lete mambo nipo hapa nakusibiri
Nitaweka kadhaa asbuhi wala msihofu.Pettymagambo andaa kimoja Cha asubuhi wakati wa swalah swalah.
Ofcourse Yes.. a Heterosex..🤣🤣 I am a straight man
Tunashukuru sanaNawashukuru kwa kuendelea kuifuatilia stori yangu, japo kuna wanasema ni uwongo, sawa sintowajali kamwe kwani wahenga walisema ukibishana na mjinga nawe utaonekana mjinga.
Endelea kuwa nami katika stori yangu hii yenye visa vya kusisimua, kwani naamini mtaipenda tu.
Uchawi,
Mapenzi,
Wivu
Hila na roho ngumu utavipata humu, muhimu ni kuvumiliana tu, nitakapo banana mnivumilie, nikipa tyme kama hivi, nazimwaga, na kwawanaotaka ung'eng'e ntawadanganya, darasa la 7 aafu nikijijini kule kiswahili chenyewe cha wachache mpaka ilifikia muda wananzengo wakawa wananiita kaswahili {mswahili}.
Basi kwa leo naomba tuishie hapa na tukutane 12 asbuhi kabla sijaingia kibaruani.
Alamsik
Hii nitaiiba niitumie kwa anayenizingua😀😀Ofcourse Yes.. a Heterosex..
Huyo jamaa nilishamuweka kwenye radar.. yani nilimua nasubiri ajae kwenye box langu nimlipueHii nitaiiba niitumie kwa anayenizingua😀😀
Angalia usifungiwe. Chzi maarif aalinichokoza nikampa za usoni akaenda kunisthak kwa mods. Ndo anachokitafutaHuyo jamaa nilishamuweka kwenye radar.. yani nilimua nasubiri ajae kwenye box langu nimlipue
Ya jambazi ndio ipi tena?Ngoja nutafute ya yule jambazi sijui kama atakuwa ameendelea.
Ndiki ndikika halafu unataja jina la mchezaji unayemtaka kwenye timu yako.130
Babu alimwuliza juma kama alikuwa na habari yoyote ameleta.
Hapana babu wala sina habari yoyote, nimekuja kupiga stori na kijana mwenzangu hapa kwani anaonekana anapenda sana mpira kama mimi, alijibu juma.
Sawa, mie nawaacha naenda kujipumzisha kidogo, aliaga babu nasi tukamkubalia akaondoka.
Tulipiga stori nyingi na juma hasa za kuhusu boli na mademu pale kijijini huku akinambia kuna demu mkali ambae angekuja pale kijijini siku si nyingi kwani alikuwa anasoma shule moja ya wasichana pale geita mjini, alisema hakuna msichana pale kijijini anaemkaribia kwa uzuri.
Muda ulifika wa sisi kuenda zoezini ambapo j alinitaka tuwahi mapema kwani tukichelewa mimi sitopata namba, tuliondoka tukapita kwao juma ambapo alichukua viatu vyake {kosovo} tukaondoka, ikumbukwe mimi sikuwa na viatu kwaajili ya kuchezea mpira zaidi ya raba nyeusi zenye shingo ndefu zilizoandikwa STAR.
Tulifika uwanjani tukaanza mazoezi ya kupasha miili joto, kisha tukaingia uwanjani, ikafanyika ndiki kwa macaptain wawili, juma na msaidizi.
We noma sana, umevipata wapi viatu hivyo?
We noma sana, umevipata wapi viatu hivyo?
Ya jambazi ndio ipi tena?