Mi simfuati fuati kama unavyo fikiria wewe huyu wifi ameanza dharau baada ya kuupata ukurugenzi.
Kwa vile umeukwaa ukurugenzi ndo hutaki hata majirani zako na wifi yako waje kumwangalia kaka yao mpendwa?
Unajua kibaya zaidi juice yenyewe wamenunua majirani zangu na sijanunua mimi maana aliuliza huu uchafu nani kaleta akaonyeshwa wale majirani zangu yaani ubinadamu kazi jamani
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.