Search results

  1. B

    Kati ya Chunya na Ubaruku ni wapi panafaa zaidi kwa biashara ndogondogo kama mitumba na migahawa?

    Mkuu hapo kwenye usalama naomba ufafanuz kidogo,yan kuna ujambaz,vibaka weng au namna gan
  2. B

    Kati ya Chunya na Ubaruku ni wapi panafaa zaidi kwa biashara ndogondogo kama mitumba na migahawa?

    Nashukuru,na vp kati ya hizi centre ndogo na mijin wap panafaa zaidi kwa local business kwa uzoefu wako
  3. B

    Kati ya Chunya na Ubaruku ni wapi panafaa zaidi kwa biashara ndogondogo kama mitumba na migahawa?

    Hahaha mkuu mbona huku kusini sumbawanga ndio wenye sayansi jamii ya juu! Hawa wakinga tunawaonea tu
  4. B

    Mabinti wa sasa acheni kukurupukia ndoa

    Ni kweli upo sahihi,swala la akili kukomaa tunatofautiana,ila katika ndoa kuna majukumu flan ya mcng ambayo mtu anatakiwa kuyamudu kulngana na jnsia yake ndio aingie kwenye ndoa,mfano kwa mwanaume n lazma awe na uwezo wa kuandalia familia mahtaj ya msingi ya kimwili hivyo n lazma awe na shughul...
  5. B

    Mabinti wa sasa acheni kukurupukia ndoa

    Japo utofauti upo lakini kwa mwanaume nazan 27 amekomaa vyakutosha kuwa ktk ndoa lakn pia wapo wanaohimil ndoa hata chini ya umri huo
  6. B

    Mabinti wa sasa acheni kukurupukia ndoa

    Kwa upande wetu wanaume 22 nakubali bado akili huwa hazjakomaa,lakin kwa mabnt unazan n kuanzia umr gan wanakomaa kias cha kuanzsha famlia
  7. B

    Mabinti wa sasa acheni kukurupukia ndoa

    Kweli kabisa,yani ameshindwa kubadilishwa na waliomzaa au kumlea,bado akashndwa kubadlishwa na Mungu ndio akawe mtu baki tu!
  8. B

    Usisaidie masikini, acha wafe

    Nakupa mfn wa watu waliokuwa maskini kimwili ila matajiri kiroho,Yesu kristo,Maria na Yosefu wazazi wa yesu,Musa,nabii Elia,nabii Elisha n.k
  9. B

    Usisaidie masikini, acha wafe

    Yesu alikuwa maskini kimwili na hakuwai kuwa maskini kiroho,kwaiyo hoja yako sio sahihi,mfn mwingine Maria mama yake yesu pamoja na yosefu mme wake walikuwa maskini kimwili ila matajiri kiroho,lazari rafik ya yesu yule aliyefufuliwa alkuwa maskin kimwl ila tajr kiroho,
  10. B

    Usisaidie masikini, acha wafe

    Sina jibu la moja kwa moja nachofahamu inahusiana na mambo ya kiroho zaid mfn mikosi,lakin umaskin ni jambo la kimwili,kwaiyo sioni uhusiano wa laana na hali ya uchumi ya mtu, ndio sababu nikauliza mbona Yesu Kristo hakuwa na laana yeyote wala dhambi yeyote lakin alikuwa maskini?
  11. B

    Kati ya Chunya na Ubaruku ni wapi panafaa zaidi kwa biashara ndogondogo kama mitumba na migahawa?

    Shukrani mkuu, vipi huko biashara znaenda mwaka mzima au n muda wa mavuno tu ndio kuna unafuu? Maana naskia maeneo meng ya kilimo biashara n za msimu
  12. B

    Kati ya Chunya na Ubaruku ni wapi panafaa zaidi kwa biashara ndogondogo kama mitumba na migahawa?

    Mkuu, kiufupi tunanunulua soweto ccm kwa juma3 mpaka jmos,lakn jpl huwa wanafungulua sido,bei ya kufunguliwa belo huwa wanaweka laki na nusu,yan hapo anafungua unachagua ww tu,lakn endapo nguo nzuri n chache it's okay,mfano unaweza funguliwa belo halafu nguo zenye unafuu zikawa za elfu70 basi...
  13. B

    Usisaidie masikini, acha wafe

    Nieleweshe kwanza mkuu
  14. B

    Usisaidie masikini, acha wafe

    Nakuuliza kwakuwa naamin umeandika kitu unachokijua,kimsingi laana haihusiani na uchumi
  15. B

    Usisaidie masikini, acha wafe

    Hiyo laana alipata wapi?
  16. B

    Kati ya Chunya na Ubaruku ni wapi panafaa zaidi kwa biashara ndogondogo kama mitumba na migahawa?

    Dah ulichosema ni kweli kabisa,ndiomaana kila sehemu kuna watu wa vipato toafaut na shughul tofaut
  17. B

    Usisaidie masikini, acha wafe

    Yesu alilaaniwa na nani maana alikuwa maskini pia?
Back
Top Bottom