Ni kweli upo sahihi,swala la akili kukomaa tunatofautiana,ila katika ndoa kuna majukumu flan ya mcng ambayo mtu anatakiwa kuyamudu kulngana na jnsia yake ndio aingie kwenye ndoa,mfano kwa mwanaume n lazma awe na uwezo wa kuandalia familia mahtaj ya msingi ya kimwili hivyo n lazma awe na shughul...
Yesu alikuwa maskini kimwili na hakuwai kuwa maskini kiroho,kwaiyo hoja yako sio sahihi,mfn mwingine Maria mama yake yesu pamoja na yosefu mme wake walikuwa maskini kimwili ila matajiri kiroho,lazari rafik ya yesu yule aliyefufuliwa alkuwa maskin kimwl ila tajr kiroho,
Sina jibu la moja kwa moja nachofahamu inahusiana na mambo ya kiroho zaid mfn mikosi,lakin umaskin ni jambo la kimwili,kwaiyo sioni uhusiano wa laana na hali ya uchumi ya mtu, ndio sababu nikauliza mbona Yesu Kristo hakuwa na laana yeyote wala dhambi yeyote lakin alikuwa maskini?
Mkuu, kiufupi tunanunulua soweto ccm kwa juma3 mpaka jmos,lakn jpl huwa wanafungulua sido,bei ya kufunguliwa belo huwa wanaweka laki na nusu,yan hapo anafungua unachagua ww tu,lakn endapo nguo nzuri n chache it's okay,mfano unaweza funguliwa belo halafu nguo zenye unafuu zikawa za elfu70 basi...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.