Robert Heriel Mtibeli
JF-Expert Member
- Mar 24, 2018
- 21,339
- 51,883
- Thread starter
- #221
Hayo ni maneno ya Mungu mkuu,siyo hadithi.
Labda hizi zako ndio hadithi.
Sawa,
Sipo hapa kubishana.
Hakuna utakalopata ukimsaidia Masikini.
Sio Duniani wala Kwa huyo Mungu unayemtaja hapa.
Masikini wapo ili waendelee kuumizwa, kuteswa, na kuonewa. Hawapo ili wasaidiwe.
Ukiwasaidia basi jua unapambana na nature, hautabaki salama.
Huamini basi saidia masikini ujionee