Kati ya Chunya na Ubaruku ni wapi panafaa zaidi kwa biashara ndogondogo kama mitumba na migahawa?

Funga kazi ni KAPUNGA- Mbarali pale kuanzia mwez wa 12 mpaka 7 unaweza ukafikir bonge la mji maana watu wanatokaga mbeya, moro, dar, mpaka kanda ya ziwa kufanya kaz na pesa kusema ukweli inamwagikaga haswaa so kama una mtaji mzur na umetulia biashara zinatoka sana ila utulie haswaa(Nyanda za juu kusini panajulikana vizur matajiri weng n wakinga so najua ushajiongeza na umenielewa).
Yaah nimeku elewa ila sehemu nyingi huwa ni za msimu fulani ndo panakuwa vizuri ila sehemu ninayo kueleza ni ndani ya mwaka mzima panakuwa na amshaamsha. Just imagine Ile centre ya kamsamba na kilyamatundu kila siku kuna basi sita yani tatu zinatoka Mbeya kuja pale na tatu zinatoka pale zinaenda Mbeya, just imagine the population of that centre
 
Safi sana Mkuu Insigne kweli wewe ni Insight, hizi centre ndio future business hubs, ahsante kwa kutujuza. Nami ntajisogeza kufanya utalii hapo Kilyamatundu, je, unazifahamu centre nyingine za vijijini zilizochangamka kwa Nyanda za juu Kusini ukiacha Kapunga ?(Rukwa,Katavi,Ruvuma,Mbeya,Songwe,Iringa na Njombe)
 
Safi sana Mkuu Insigne kweli wewe ni Insight, hizi centre ndio future business hubs, ahsante kwa kutujuza. Nami ntajisogeza kufanya utalii hapo Kilyamatundu, je, unazifahamu centre nyingine za vijijini zilizochangamka kwa Nyanda za juu Kusini ukiacha Kapunga ?(Rukwa,Katavi,Ruvuma,Mbeya,Songwe,Iringa na Njombe)
Nakupeleka tena kwenye bonde lingine la ziwa Rukwa hapa panaitwa Majimoto in Rukwa region, ukifika Sumbawanga mjini unapanda bus za kwenda Tabora na Mwanza via Majimoto and you will see how de area is so excited

Matajiri wote wakubwa kutoka mikoa ya kanda ya ziwa yaani Mwanza, and e. t. c ndo wameenda pale na kuweka mitaji yao Mikubwa kwenye mashamba ya Mpunga.

Nafahamu unawatambua wale wamiliki wa timu ya Gwambina iliyokuwa inashiriki ligikuu ya Tanzania Bara, hapa namzungumzia Alexander Mnyeti mkuu wa mkoa mstaafu na ndugu zake, sasa hawa wameenda pale Majimoto wamewekeza kwenye kilimo cha mpunga na wamefungua lounge&Night club kubwa sana ambapo hakuna kama hiyo kwa mikoa 2 ya Rukwa na Katavi, na hii Majimoto ukumbuke ni bonde dogo tu ambalo lipo karibu na ziwa Rukwa

Hii inachangia eneo hilo kuwa mzunguko mkubwa wa pesa na wafanyabiashara wenye mitaji ya kawaida wako pale kwa ajili ya kuongeza mitaji, eeh bwana kuna Wachaga wametoka mbali sana wako pale kama kawaida yao na elimu zao za biashara

Just Imagine kuna tajiri kutoka Mwanza anakuja na takribani milioni 500 kwa ajili ya kununua magunia ya mpunga pale Majimoto na yote hiyo inaishia pale, bring in mind that circulation of money coz ananunua magunia kwa wakulima mbalimbali

Kuna kile kiwanda cha vinywaji kutoka kanda ya ziwa nadhani unakifahamu Kinaitwa Jambo soko la vinywaji vyake lipo huko

For sure hutojutia, the place am directing you, nimetembea centre nyingi ambazo ni potential for small business na nazifahamu na kuzijua vizuri
 
Funga kazi ni KAPUNGA- Mbarali pale kuanzia mwez wa 12 mpaka 7 unaweza ukafikir bonge la mji maana watu wanatokaga mbeya, moro, dar, mpaka kanda ya ziwa kufanya kaz na pesa kusema ukweli inamwagikaga haswaa so kama una mtaji mzur na umetulia biashara zinatoka sana ila utulie haswaa(Nyanda za juu kusini panajulikana vizur matajiri weng n wakinga so najua ushajiongeza na umenielewa).
Hahaha mkuu mbona huku kusini sumbawanga ndio wenye sayansi jamii ya juu! Hawa wakinga tunawaonea tu
 
Nakupeleka tena kwenye bonde lingine la ziwa Rukwa hapa panaitwa Majimoto in Rukwa region, ukifika Sumbawanga mjini unapanda bus za kwenda Tabora na Mwanza via Majimoto and you will see how de area is so excited

Matajiri wote wakubwa kutoka mikoa ya kanda ya ziwa yaani Mwanza, and e. t. c ndo wameenda pale na kuweka mitaji yao Mikubwa kwenye mashamba ya Mpunga.

Nafahamu unawatambua wale wamiliki wa timu ya Gwambina iliyokuwa inashiriki ligikuu ya Tanzania Bara, hapa namzungumzia Alexander Mnyeti mkuu wa mkoa mstaafu na ndugu zake, sasa hawa wameenda pale Majimoto wamewekeza kwenye kilimo cha mpunga na wamefungua lounge&Night club kubwa sana ambapo hakuna kama hiyo kwa mikoa 2 ya Rukwa na Katavi, na hii Majimoto ukumbuke ni bonde dogo tu ambalo lipo karibu na ziwa Rukwa

Hii inachangia eneo hilo kuwa mzunguko mkubwa wa pesa na wafanyabiashara wenye mitaji ya kawaida wako pale kwa ajili ya kuongeza mitaji, eeh bwana kuna Wachaga wametoka mbali sana wako pale kama kawaida yao na elimu zao za biashara

Just Imagine kuna tajiri kutoka Mwanza anakuja na takribani milioni 500 kwa ajili ya kununua magunia ya mpunga pale Majimoto na yote hiyo inaishia pale, bring in mind that circulation of money coz ananunua magunia kwa wakulima mbalimbali

Kuna kile kiwanda cha vinywaji kutoka kanda ya ziwa nadhani unakifahamu Kinaitwa Jambo soko la vinywaji vyake lipo huko

For sure hutojutia, the place am directing you, nimetembea centre nyingi ambazo ni potential for small business na nazifahamu na kuzijua vizuri
Nakufwatilia kwa ukaribu mkuu,endelea kutoa mwanga
 
Ndo hivyo Mkuu ila mimi nipo Dar es Salaam ila nina access ya kila centre za nyanda hiyo zinazofanya vizuri kwenye local business
Nashukuru,na vp kati ya hizi centre ndogo na mijin wap panafaa zaidi kwa local business kwa uzoefu wako
 
Ukifika Mbeya mjini kwenye stand ya mbalizi ulizia gari zinazoenda kamsamba mpaka kilyamatundu panda humo na moja kwa moja utakuwa utakuwa umefika

It's a very beautiful place to invest in our such local businesses, I have been there for almost a year and it's a wonderful experience
Mwambie pia kuna joto hatari na usalama ni zero,kifupi bora hata Maji moto
 
Mkuu kuna sehemu panaitwa kilyamatundu ni bonde la ziwa Rukwa, huko kunafanyika kilimo cha mpunga kwa wingi sana, ukifika pale utashangaa uwingi wa watu waliopo pale, huduma za kijamii, biashara zinazofanyika, navokuambia wala hutojutia na hizo biashara ulizozitaja mgahawa na mitumba ndo zitakutoa sana coz wenyeji pale wanafanya kwa mazoea
Mkuu huku maeneo vp kunafaa kwa biashara ya viatu I mean sendles za kike na kiume raba mtumba uku vp

Pia vp biashara ya uwakala pia.natanguliza shukrani
 
Mkuu huku maeneo vp kunafaa kwa biashara ya viatu I mean sendles za kike na kiume raba mtumba uku vp

Pia vp biashara ya uwakala pia.natanguliza shukrani
Hapo ndo penyewe, japokuwa pamechanganya sana ila mimi miezi miwili iliyopita pale niliacha duka moja tu la viatu vya mtumba, sandlea za kike na kiume pia ukizimwaga for serious business, tena bei zako zisiwe zile za kukata na shoka ila iwe profit yako ya kawaida ili mzigo uwe Inaisha kwa haraka coz watu wa kule ukiwapiga bei kubwa wanahisi kwasababu ni wa vijijini ndo maana unawafanya vile,

Pia biashara ya uwakala inalipa pia coz kule population huwa ni kubwa sana na hasa kuna zile minada ambayo kwa mwezi ipo mara mbili, huwa wanakuja watu kutoka sehemu mbalimbali ila wanapataga shida sana kwenye kuweka na kutoa pesa, hapo kilyamatundu ndo mnada Mkubwa Wa ng'ombe mkoa mzima wa Rukwa, pia huduma ya kuweka na kutoa pesa haifanyi vzr sana kila siku pale coz unakuta watu wawili tu ndo wapo vzr ila ukienda pale na ukafanya seriou business, pia utaongeza vocha na huduma ya kuwanunulia vifurushi coz watu wa kule wengi hawajasoma
 
Funga kazi ni KAPUNGA- Mbarali pale kuanzia mwez wa 12 mpaka 7 unaweza ukafikir bonge la mji maana watu wanatokaga mbeya, moro, dar, mpaka kanda ya ziwa kufanya kaz na pesa kusema ukweli inamwagikaga haswaa so kama una mtaji mzur na umetulia biashara zinatoka sana ila utulie haswaa(Nyanda za juu kusini panajulikana vizur matajiri weng n wakinga so najua ushajiongeza na umenielewa).
Mapogoro msimu wa kupanda balaa...ila wale washenzi muda wakurudi kwao hata nauli wanakuwa hawana..kazi yakushindana na mafogo kwenye kuhonga na kula biyaa
 
Back
Top Bottom