Mimi nimeota niko kijijini kwetu nilikozaliwa. Nikawa nimekaa sehemu nikakutana na Hayati Magufuli akiwa amevaa Kofia ya Pama na shati la kitenge na suruali nyeusi. Tena wakati nakutana nae nilijua kabisa nimekutana na mtu ambye ameshafariki. Tukaongea nae mambo mengi ya miradi ya kusafirisha...
Ndio ubaya wa vyeo vya kuteuliwa. Tuige mfano wa Kenya. Mkuu wa mkoa (kaunti) anachaguliwa na wananchi na ana cheo cha gavana. Hawana haya mambo ya mtu kusubiri kuteuliwa kila baada ya wiki.
Watu mna moyo sana kwa kweli. Yaani kabisa usiku nitazame TBC1 wakati hata mchana siwezi kuitazama? Hata kama kifurushi cha Tv kimeisha bora kukesha JF
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.