Search results

  1. Blue Icon Consultancy

    Namna ya Kuwagawa Wafadhili (Donors' Market Segmentation) kwa Ajili ya Mchakato wa Harambee

    Soko la Wafadhili (The market of potential donors) kwa Taasisi zinazofanya vizuri katika maeneo yao ya kiutendaji ni kubwa. Ili kuwa na ufanisi katika kuliendea soko hili; Taasisi inapaswa kuligawa (market segmenting). Namna rahisi kwa Taasisi kugawa soko la Wafadhili ni kama ifuatavyo; Soko...
  2. Blue Icon Consultancy

    Uchambuzi wa Wito wa Uwasilishaji wa Andiko la Mradi Kutoka TANZANIA FOREST FUND na Jinsi ya Kuliandaa (Andiko)

    Tanzania Forest Fund (TaFF) ni Mfuko ya umma ulioanzishwa chini ya Sheria ya Misitu (Forest Act Cap. 323) kwa lengo la kuhifadhi na kusimamia rasilimali ya Misitu Tanzania Bara. Mfuko huu upo chini ya Wizara ya Maliasili na Utalii na unasimamiwa na Bodi ya Wadhamini. Mwaka huu (2020) Mfuko...
  3. Blue Icon Consultancy

    Uwasilishaji wa Hitajio Katika Uandaaji wa Mchanganuo wa Mradi (Preparing a Need Statement)

    Uwasilishaji wa Hitajio (Need Statement) ni kipengele MUHIMU sana katika uandaaji wa andiko la Mradi. Uwasilishaji wa Hitajio una malengo makuu mawili (2) ambayo ni: Kuonyesha ni kwa namna gani TATIZO la mradi wako linarandana na matakwa/maslahi ya mfadhili (funder's interests/priorities)...
  4. Blue Icon Consultancy

    Je Unahudumu Kwenye NGO? Tathmini Amana za Taasisi Yako Katika Kufanya "Fundraising"

    Utafutaji wa Fedha (Fundraising) ni kitendo cha Taasisi kutumia vyanzo/njia mbalimbali kwa ajili ya kukusanya fedha ambayo hutumika katika utekelezaji wa shughuli za Taasisi hususani utekelezaji wa Miradi ya Maendeleo. Taasisi hutofautiana katika uwezo wa utafutaji wa fedha (fundraising), kuna...
Back
Top Bottom