Licha ya serikali kupiga kampeni kila siku juu ya mpango wa kutokomeza malaria. Nimeshangazwa na haya mazoea ya Hotel na Lodge nyingi za Dar es Salaam kutofungwa net za mmbu kwenye vitanda vyao.
Labda, lengo za hotel/Lodge hizo ni kuhudumia wateja wa short time lakini anapokuja mgeni...
Kutokana na matumizi makubwa ya fedha kwenye manunuzi ya vifurushi vya Internet. Tarehe 01/08/2022, nilijiunga na kifurushi cha Tsh.1500 (Mb850) na niliamua kuanza kufuatilia na kujipimia matumizi ya vifushi vya Internet kwenye simu yangu kupitia Mobile data usage ambapo nilipata fursa ya kuweka...
Tunaomba mirejesho tafadhali kwa mlio lima. Mimi napanga mwaka huu nikalime Songea, Insha Allah.
Kwa yeyote aliyewahi kulima hili zao Songea naomba anipe Uzoefu (Muda wa kupanda, mbegu bora, upatikanaji wa mashine za kukamua etc)
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.