angalia pia katika kipengere cha Quantity Surveyor kuna majina matatu yameongezwa ambayo hayakufanya mtihani na pia ni kutokana na uchunguzi wangu kwa kuangalia majina ya alama za apptude test walizofanya tarehe 17/1/2014 na pia majina ya walioitwa katika usaili..majina haya ni DAINESS...
Napenda kutoa pongezi za dhati kwa Shirika la Nyumba la Taifa N.H.C kwa utendaji wao mzuri wa kazi na hii nina imani ni kutokana na mambo kadha wa kadha ikiwemo Uongozi wa juu ulio makini na kile wanachokifanya,uongozi wa juu kushikiliwa na vijana ambao wengi wao damu bado inachemka,uzalendo kwa...
Wadau,
Napenda kutanguliza shukrani za dhati kwenu nyote nimepona ugonjwa wa fungus wa mwili niliokuwa nao kwa muda takribani miaka 12.
Nimetibiwa hospital ya masista Kawe unashukia kituo kinaitwa Kanisani kama ukipanda daladala.
Jaribu nawe kama una tatizo kama langu thanks so much JF
naomba msaada Wadau me nasumbuliwa na fungusi za ngozi mwaka wa 7 sasa natumia vidonge na dawa za kupakaa but zinapona lakini baada ya mwezi zinarudi tena kwa kasi katika sehemu kubwa ya mwili
Wasiwadanganye wabongo watakavyo wao..na sisi baadhi yetu tusipende kushadadia issue tusizozijua eti ohhoo kanunua ..mara oohohhoo special order achenihizo huo wote ulembo watu wamefuma jina na ilo neno special for sijuo yunanii ...watu wanapenda ubwete sana ..na vibrog navyo vinakosa ya...
nilitoa ahadi kuweka hizi picha coz wabongo tumechoka kugeuzwa mazuzu na baadhi ya watu eti kisa wana pesa..uliona special order ikafanyiwa ukalabati hapa bongo??msigeuze watu Mbulula kiivyo banaa haipendezi..
Msipende kutafuta umaarufu wakijinga hilo gari sio special adition bali kalifanyia modification ya interio design hapa hapa bongo na kama ukibisha nitaweka picha za kazi nzima ilivyokuwa ikifanyika..msipende umaarufu wakipuuzi..ndio babake anapesa ila sio mdanganye wabongo kiivyo..
Tumieni tofali za Hydraform ktk ujenzi wenu but inabidi mwende kwa wakala wao wako dar ghalama za ujenzi zitapungua kwa asilimia 30% ukilinganisha na ujenzi wa tofali za cement.angalia hiv sasa hata serikali kupitia NHC wanatumia sana ujenzi wa Hydraform but wao wanawatumia mawakala direct...
Karata pekee ya anguko la ccm ni kwa vijana ambao ndio nguzo yamabadiriko hivi sasa kujitokeza kwa wingi na kujiandikisha ili ifikapo wakati wakupiga kura wapige na si kukaa ktk majukwaa na vijiwe kuota kuiangusha ccm nawakati hata kura hawapigi..hizo zitakuwa ni ndoto za alinacha..tuanze kwanza...
Gagame yuko sahihi kabisa 100% huyu ndio rais mwenye msimamo wengine wanaiga tu..jiulize hapo kaambiwa maneno tu imekuwa hivyo what if mkitaka kumpiga? Unadhani atafanyaje? Halafu mbona tanganyika ina mambo mengi sana yanayoitaji ushauri kwa nini hadi uutoe nje kwa wasioutaka,? Fikiria chukua hatua
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.