Dada zangu wa kichaga jisafisheni kimapenzi maana sehemu kubwa ya jamii inawaogopa kimapenzi

Hi!

Ukipata mchumba hasa mmachame wanafamilia wanakuwa wagumu kubariki mahusiano yenu.Hii imetokana na baadhi ya jamii kutendwa baada ya kuoa wachaga.Lakini naamini kuna baadhi ya dada zangu wa kichaga ni wema kabisa na wanamtegemea Mungu na upendo wao unaweza kufuta mabaya yaliyojengeka ktk jamii zetu kwa vizazi vilivyopita.

Hapo awali wanaume wa kikurya walikuwa wanaogopwa na mabinti wengi sana kwa sababu ya kutoa kichapo lakini siku hizi baada ya jamii kuona baadhi ya wadada wameolewa na watu hao na wamepewa mapenzi ya dhati jamii imewakubali.Leo hii ukipata mchumba wa kikurya halafu ukampeleka nyumbani anakubalika.

Hivyo dada zangu jisafisheni kufuta mfumo dume uliojengeka ktk jamii pia mnaweza kutujuza tatizo liko wapi mpaka jamii inaogopa?

Miaka 8000 hawabadiliki hawa! Chapaa mbele! kwao wanatumwa chapaaa haswa ukiwa chasaka umeliwa!
 
Lkn mbona wako poa tu. Mi nnae wa kwangu huu ni mwaka wa pili tunapiga maisha na hakuna cha ajabu, ukiishi na mtu kwa kutomwamini au kumtilia mashaka ni kweli kila siku utakua under stress...mpe nafasi uone hayo yanayosemwa kwake utayaona? Jamii nyingi siku izi zimebadilika kutokana na elimu zitolewazo kila kukicha kupitia NGO's na hata serikali.
 
wanawake wa kimachame ni wakatili sana,na wana roho mbaya na mara nyingi hupata wanaume matahira,yaani wapole kupitiliza,wanawake hao hupenda kutawala waume zao,halafu ni vicheche hatari,wanapenda sana mpwapiso,mbaya zaidi sura hawana na miguu yao kama mijiti nyuma ndo usiseme,ila rangi wanayo na wengi wamesoma,ila wanawake wa kimachame sio wa kuoa wana tabia za umalaya,hata utombe vipi hawaridhiki,wanapenda vilevi vikali,wengi wao huwatesa waume zao na kuwaua either kwa presha kutokan na tabiaz zao au kwa ajili ya mali,hawajui mapenzi yaani kwenye love hawana swaga kabisaa,ni mara chache sana wanawake hao kupata wanaume wanaojielewa yaani vidume vyenye msimamo,wengi huolewa na mazezeta

Nakuunga mkono na miguu,wengi waliooa huko wameishia kujuta
 
destiny1 i conqure with u my sis wakati naolewa wale ndugu walimuuliza eti huyo mchaga wa wapi mume wangu aliwajibu sioi mchaga namuoa upendo walishatup midomo yao maana ni vyasaka wangekataa mtoto wao asioe mchagga kwikwi namwomba sana mungu amlinde na ampe maisha marefu maana nampenda sana lakini ninajua hata akitangulia mbele za haki utasikia huyu mchaga kamuua kwa hiyo basi bora hata nitangulie mimi kuliko ambiwa nimemuua mtu ninayempenda kiasi hiki.kuna dada jirani yangu mmeru mumewe alikuwa msukuma yeye mmeru yule bwana aliugua cancer ya mapafu alitibiwa india 2 proved cancer na agakhani basi akatangulia.walisema huyu dada ndie kamuua ili arithi nyumba tatu na guest japo ipo proved dah huwa nasikitika sana.na mentality mbovu.mbaya zaidi hawa vyasaka hujiaminisha kuwa mali zote ni za mtoto wao kumbe unakuta hana kitu.kuchelewa kupata elimu ni janga

So sad kwa kweli, poleni kuwa victim wa hii kitu
 
Last edited by a moderator:
ukwel anaufaham m2 mwenyew, na kw maana hiyo yy, ndiye mwenye jukum la kutafuta njia stahiki ya kutatua aina yoyote ya changamoto inayotokea, na anayohis itatokea. ''aliwazalo m2, ndilo litalomtokea' education inaweza kusaidia sn kuambizana ukwel hata kabla ya kuanza maisha ya ndoa kw wahusika.
 
hatujazoea maneno meengi wala tararira nyingi money's talk bana,

siku hizi imeibuka dhana ukiwa unatafuta nyumba wenye nyumba wanauliza kabila akishtukia ni mchaga hupati nyumba, eti kisa akiombwa atoe hela ya mboga kwa mchaga hupati ila makabila mengine wanatoa, na sababu za mchaga akishalipa kodi mazoea kushinei mtakutana mwakani tena huonji sentano yake ng'oodi
 
Kuna mdada namenda sana tatizo lake yy ni mchaga na pia mbali na uchaga kwake majivuno na pesa ndio iko mbele kuliko upendo,hanitafuti hadi mie ndio nimuanze hata kunitext kwake ni shida,niliamua kukaa kimya one day kama siku 9 hiv na yeye akatulia bila kujisumbua mwisho nimestuka hakuna upendo hapo ni bora nitulie jitafute atakaenipenda wachaga nomaaa but wanjidai wameokoka ili wakupate kirahs ukiingia kichwa kichwa imekura kwako pia ktk mapenzi kitandani ndio walipata supimentary wana 0 ..hawajui so ukimpata jiamdae kuwa mwalimu kwanza..
 
Tatizo nimegundua lipo katika wachaga kwa kiasi kikubwa nikaribia wote na zaidi ni wamarangu even hata maumbo yao nikama funguo ya mult rock au picha ya konyagi sura wanayo nzuri tena sana rangi pia mungu kawajaria me nasema hiv coz nilishakuwa na demu wajutoka rombo,kibosho,huru,marangu kasoro machame nako kama hali nduo hii basi hawanipati uchagani bora nikatafute kwingine..
 
Naunga mkono asilimia 100...yaani most of machames are real cold..hadi wanakera..Halafu huwa wanabweteka na urembo wa miili yao wakidhani ndo uzuri wa mwanamke!

Then ukimwelekeza yy anaona kama unamsumbua vile,pia akifika mshindo jiandae either kuumwa meno begani au kubana mapa...j.. Duuh wachaga kiboko..
 
Hili swala halina ukweli wowote, tabia ya mtu ni ya mtu mwenyewe, tusiusishe makabila. Then wadada wa kichaga ndio kila week wanaolewa na wanaume kutoka makabila mengine. Weekend zunguka makumbi ya sherehe dsm utajua
 
Wanaume wote mnaoponda wanawake/wadada wa kichagga mamburula wote. Madada wa kichagga hawapendi wanaume suruali, hela huna kazi yako kila ukirudi home unataka kugegeja tu! Msichana gani anataka umchafue siku dunia hii? Msichana gani hasiye taka watoto wake wasome academy? Msichana gani hasiyetaka kuwa na gari ya kutembelea?
Kama huna chapaa sahau kupendwa kwa msichana yeyote now day sembuse gal wa kichagga.
Much respect dada zangu wote.
 
Mimi si Mchagga ila hili neno la Vyasaka si zuri kulitumia. Nina mpenzi wa Kichagga kwa sasa na kila nikitaka kupenyeza hili jambo kutaka kujua wanawachukuliaje wasichana wa kichagga mzazi wangu amekuwa na mtizamo hasi (Negative attitude) juu ya wachagga.

Lakini kabla ya hapa nilitoa taarifa ya kwamba nilikuwa na msichana ambae katokea ukanda wa huko kwetu, lakini mwisho wa siku haikumature. na ni yeye alikuwa na matatizo.

Nina wakati mgumu wa namna ya kusema nyumbani kuwa kwa sasa nimepata rafiki wa kichagga mtoto wa Kimarangu.
Mi nimemkubali na anamwogopa Mungu.

Naunga mkono hoja wasichana wa Kichagga au wanaume waliooa wachagga wawasafishe wake zao na hii dhana. Nina wakati mgumu hasa pale ndugu wanapokuwa wagumu kupokea mabadiliko.

Uwe na amani tu ndugu yangu miaka ya sasa hizo makitu za ukabila haziweki kihivyo.. Wazazi bado wana hofu coz wanaoanisha na enzi zao.

Lakini now days watu wanachanganyika sana na ukabila umepungua kwa kiasi kikubwa lakini pia .. Tabia ni mtu na sio alikotoka.

Sent from my BlackBerry 9700 using JamiiForums
 
Wamachame hell no,kwanza hawajui mapenzi...hawakawii kukutanguliza mbele ya haki hao
mkishachuma vya kutosha

Nani anajua mapenzi...?Acheni umbea na kukariri.......Mapenzi mengine mnayoyaita kwa wengine ni upuuzi.Mwananke yeyote mwenye nia na kupata ampendaye hufundishana Kupeana wapendacho.Ujinga mwingine ni uongo mtupu.Wanawake kibao hawajuai mapenzi dunia nzima.

NImeona wasichana kibao wanafanay useless things kitandani hadi nasikia kuwa used......inaonyesha jinsi wanaume wa kwaow anavyopagawa na vitu vya kijinga.hadi wanaaahidi mbingu na nchi.....most of them nilikuwa nawahurumia kuwaambia kuwawamefanya useless things.And nataka waanze fanya useful things bahati mbaya wanakuwa wamechoka.
 
Hilo la kwanza.......la pili ana hela.......? Hatuolewi na wanaume sarawili sisi.......

Bado mnataka ushahidi gani, wao ni fwedha tu, na ngawili ikizidi, wanakutanguliza mbele ya haki. Chezea wachaga weye!? Ila siku hizi wanahuruma hao, ukilia kidogo tu umepewa.
 
Usimjudge mtu kwa kabila lake maana ktk kila kabila kuna watu wenye matabia machafu.
 
Back
Top Bottom