Tofauti na zamani watu walikuwa wanaheshimu sana misiba kila anaekwenda msibani lengo ni kutoa heshima za mwisho za marehemu na kumzika.
Tofauti na sasa misiba siku hizi watu wameigeuza kuwa vijiwe vya umbea na majungu. Unakuta mtu anaenda msibani lengo ni kupeleka umbea au kusikisikia umbea...
Unataka uzoefu katika eneo Gani la IT .......
Networking
IT SUPPORT
Security system.
System developer
Cyber security and system investigation.
Efd machines system
Database
Sasa sema wewe ni eneo Gani unataka unataka uzoefu Gani tunaanzia hapo kwanza ..........
Ukishaelewa ni eneo...
Mkuu kamwe kamwe usije ukajaribu kujitolea shule za serikali kwa lengo la kuajiriwa, kutafuta pesa ndogo ndogo ya kujikimu.
From my experience vijana wengi wanajitolea mashuleni mwisho wao huwa ni mbaya
Ukifatilia kwa mbali haya mambo kwa mbali utagundua kuwasema watu waliofanikiwa vibaya
Tunatumia kama njia ya kujifariji
Sent from my SM-A037F using JamiiForums mobile app
Nimejaribu kuutafakari huu utamaduni wa ndugu zetu wahindi linapofika swala la ndoa familia ya mwanamke ndo inawajibika kulipa mahali kwa familia ya wanaume .
Ukituzama kwa mbali hawa ndugu zetu waliona mbali sana sababu walijua kijana wao akioa basi ameowa familia sahihi sio zile familia zenye...
Wakati wazazi wao wako bize na kusoma na kutengeneza maisha ya kizazi chao cha badae sisi wazazi wetu wako bize na starehe na kula Bata.
Wakati wazazi shuleni walikuwa wanazingatia masomo sisi wazazi wetu walikuwa kila siku wako chimbo .
Wakati wazazi wao kila wakipata pesa wanawekeza kwa...
Mpka unakosa connections ya kazi tambua ya kwamba haya ni makosa ya either ya wazazi wako hawakukuandalia maisha mapema au tatizo linaweza kuwa ni kwako .
Nimekaa kagera kwa miaka karibia 12
Unachosema mleta mada ni uongo mtupu
Kagera ni miongoni mwa mikoa masikini tanzania lakini pia kuelimu uko nyuma mnoo
Wadada wengi toka huu mkoa ndo wanaongoza kukimbia shule na kukimbilia biashara ya kujiuza mijini hii ndo jadi yao
Vijana wa kiume...
Nimefuatilia na kuchunguza kusema ukweli vijana wengi wanapoteza muda wanavyofanya kazi wanaishia kulipwa mishahara ya laki 3 mpaka laki 5 na hapo ale chakula avae apendeze na mengineyo ahudumie familia mke na watoto bado hapo ndugu asaidie
Jioni vijana wanataka wale starehe, mwisho kijana...
Ushauli wangu mdogo wangu ni huu muda ulionao utumie katika maswala ya elimu na kutengeneza maisha yako ya badae
Haya mambo ya wanawake achana nayo Kama ukiona nyege zinakusumbua nenda tandika au temeke kwawaaaayaaaaa elfu 2 yako
Mkuu uko sahihi tatizo watu wanaishi kwa kukariri system ya miaka ya 90 na 80 na miaka ya sasa enzi za walimu wa upeeee na voda fasta serikali ilikuwa ikiajiri
Enzi zile bana ni kweli form six ilikuwa na nguvu sana ilikuwa inaheshimika sana vijana waliomaliza form six walikuwa wako vizulii na...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.