Pole Sana ilaungesema
Pole Sana ungesema tatizo tukusaidie humu Kuna wataalam wa masuala ya uzaz wa kike na kiume wa hospital na mitishamba ,ugumba unatibika Ila utasa hautibiki,ukiwa tayari nitafute nikusaidie kukuambia mizizi ya kuchimba huko uliko uchemshe unywe inaeza kukusaidia...
🤣🤣🤣 umenikumbusha mbali mkuu miaka hio ya 2012 humu jf Kuna mzee baba alinitumia nauli mm nkaila🤣🤣🤣acha aanze kunambia kua ataniloga na vitisho kaa vyote kisa elfu 50 tu🤣🤣🤣sijui kaa bado yupo humu jf 🤣🤣long tym
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.