Samahani wapendwa sijui ni Mimi tu, sijawahi kuona kazi zikitangazwa tamisemi, sasa sijui tamisemi wafanyakazi hawastaafu, au hawahamishwi au hawaachi kazi? Naomba tusaidiane, Mimi binafsi natamani sana kufanya kazi na hiyo taasisi, kila nkichungulia magazeti wapi, kwenye mitandaao ndo kabisa...
Wapendwa mwenye mchanguo wa Kilimo cha zao tajwa kwaajili ya biashara, ninaomba ujuzi wenu,nimepata shamba Iringa linafaa kwa kulima nyanya sina ujuzi wowote na hili zao ndiyo Mara ya kwanza kulima, naomba mawazo yenu ndugu yangu kuanzia kulima,hadi kuvuna na masoko, natanguliza shukrani, asanteni
Wapendwa naomba mwenye ujuzi juu ya hilo zao naomba tushee ujuzi, pia mwenye mchanganuo kuanzia kulima, mbegu bora hadi kuvuna,nataka nilime nyanya kwaajili ya kuuza, asanten sana kwa michango yenu.
Salaam, sherehe za maadhimisho ya muungano zinafanyika wapi? Nataman kuwa mmoja wa wahudhuriaji wa sherehe hizo, mwenye mialiko nikumbuke bac na Mimi, natanguliza shukran, ubarikiwe sana
Na muache kuhukumu, wachungaj sio malaika nao huwa wanaanguka, yesu alianguka Mara tatu itakuaje kwa mti mkavu, tuwaombee wachungaji badala ya kuhukumu, mungu atussmehe
Wapendwa nmesoma comments asilimia 99 mnamuhukumu mchungaji, lakini hapa kuna weza kuwa na story tatu, ya kwanza usikute hayo yaliyotokea ni kwwli kabisa mchungaji amefumaniwa na hao wanawake watatu tho kwenye picha anaonekana wanawake wawili anyway hiyo sio ishu, upande WA pili WA story what if...
Good for u, yesu ni mponyaji hakuna linaloshndkana kwake nmeshuhudia cancer zikikauka sembuse ukimwi, alikuja ili tuwe na uzima Kisha tuwe nao Tele, mtafte akutendee Mema, ubarikiwe
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.