Search results

  1. R

    Ajira TAMISEMI

    Samahani wapendwa sijui ni Mimi tu, sijawahi kuona kazi zikitangazwa tamisemi, sasa sijui tamisemi wafanyakazi hawastaafu, au hawahamishwi au hawaachi kazi? Naomba tusaidiane, Mimi binafsi natamani sana kufanya kazi na hiyo taasisi, kila nkichungulia magazeti wapi, kwenye mitandaao ndo kabisa...
  2. R

    Natafuta gari Toyota Allex au Runx ya 2004 na kuendelea

    Ninayo runx ni mpya ina 4wd,
  3. R

    Natafuta gari Toyota Allex au Runx ya 2004 na kuendelea

    Check pm nmekupm my number,
  4. R

    Kilimo cha Nyanya: Aina za mbegu, mbinu za kulima na masoko yake

    Wapendwa mwenye mchanguo wa Kilimo cha zao tajwa kwaajili ya biashara, ninaomba ujuzi wenu,nimepata shamba Iringa linafaa kwa kulima nyanya sina ujuzi wowote na hili zao ndiyo Mara ya kwanza kulima, naomba mawazo yenu ndugu yangu kuanzia kulima,hadi kuvuna na masoko, natanguliza shukrani, asanteni
  5. R

    Kilimo cha Nyanya: Aina za mbegu, mbinu za kulima na masoko yake

    Wapendwa naomba mwenye ujuzi juu ya hilo zao naomba tushee ujuzi, pia mwenye mchanganuo kuanzia kulima, mbegu bora hadi kuvuna,nataka nilime nyanya kwaajili ya kuuza, asanten sana kwa michango yenu.
  6. R

    Je unajua Mawigi na Rasta Zinatoka wapi?

    Ni kweli ndo maana huwa wanaandika 100% human hair, in nywel kabisa especially hizi original, feki ndo plastic
  7. R

    Sherehe za maadhimisho ya muungano

    Salaam, sherehe za maadhimisho ya muungano zinafanyika wapi? Nataman kuwa mmoja wa wahudhuriaji wa sherehe hizo, mwenye mialiko nikumbuke bac na Mimi, natanguliza shukran, ubarikiwe sana
  8. R

    iphone 4s for sale.

    Weka bei
  9. R

    Chumba master, choo,jiko kinapangishwa Mbezi tangibovu

    Duuh haipungui mkuu, maana Ile folen
  10. R

    Fashion ''designer'' Sheria Ngowi

    ILA nguo alizovaa kwny mkasi? Ile suruali cjaielewa, hizi fashion hizi, mungu tusaidie
  11. R

    Red moon: Total Lunar Eclipse

    Oooh my god, John hagee was right, Jesus is coming, ref full blood moon, lord help us the clock is ticking
  12. R

    Unamfahamuje mrembo huyu?

    I have no idea,
  13. R

    Unamfahamuje mrembo huyu?

    Yuko ulaya I think Holland, anafanya kaz na kusoma,
  14. R

    sehemu ya ofisi inapangishwa

    Rent? Sh ngap
  15. R

    Appatment for sale

    weka bei
  16. R

    Bajaji inauzwa

    Picha za ndani zikwapi? Ni aina gani ya bajaj? Na kwann unaiuza? Swali la mwsho bei inapungua?
  17. R

    Tamko la kamati ya maridhiano ya zanzibar wamesema;Serikali 2 za ccm zi ishie huko huko dodoma

    Na wameambiwa wajumbe toka zanziber yeyote atakayeunga serikal mbili asirudi zanziber akirudi kichwa chake halali Yao, wajumbe WA zanzber presha juu,
  18. R

    Kasi ya watumishi wa Mungu kufumaniwa kama huyu ,waumini tunapata funzo gani?

    Na muache kuhukumu, wachungaj sio malaika nao huwa wanaanguka, yesu alianguka Mara tatu itakuaje kwa mti mkavu, tuwaombee wachungaji badala ya kuhukumu, mungu atussmehe
  19. R

    Kasi ya watumishi wa Mungu kufumaniwa kama huyu ,waumini tunapata funzo gani?

    Wapendwa nmesoma comments asilimia 99 mnamuhukumu mchungaji, lakini hapa kuna weza kuwa na story tatu, ya kwanza usikute hayo yaliyotokea ni kwwli kabisa mchungaji amefumaniwa na hao wanawake watatu tho kwenye picha anaonekana wanawake wawili anyway hiyo sio ishu, upande WA pili WA story what if...
  20. R

    I'm HIV+VE but i still enjoy life.

    Good for u, yesu ni mponyaji hakuna linaloshndkana kwake nmeshuhudia cancer zikikauka sembuse ukimwi, alikuja ili tuwe na uzima Kisha tuwe nao Tele, mtafte akutendee Mema, ubarikiwe
Back
Top Bottom