Search results

  1. D

    natamani.................!!!

    wachaga wasirudi mjini maana foleni imepungua kwa kiasi kikubwa..........kutoka gongo la mboto hadi posta unateleza kama vile usiku wa manane....
  2. D

    Wapi Wanatoa huduma ya kuweka Meno Ya Bandia Dar Es Salaam

    Kaldinali=pengo.. Nenda sinza shuka kituo kiko karibu na msikiti kama utapanda magari yanayotokea shekilango ulizia maeneo hayo karibu na huo msikiti kuna technishian anatoa huduma hiyo,.,...kama ukikwama utani pm nikupe contact zake kama we ni ke.
  3. D

    Mishahara serikalini!!

    acha kudanganya umma...katafute takwimu sahihi hazina au utumishi.
  4. D

    Kuhusu dynapharm products and the like..

    asante kwa ushauri.....mi natrgemes kutumia productd za dynapharm..
  5. D

    Kuhusu dynapharm products and the like..

    nakushukuru sana mkuu....
  6. D

    Kuhusu dynapharm products and the like..

    asante mkuu....vipi kuhusu side effects make kiwango ninachotakiwa kubugia ni kikubwa kama vidonge 40 kwa siku......
  7. D

    Kuhusu dynapharm products and the like..

    asante mkuu...hivi inabidi niwe nabugia haya madawa mara kwa mara au ukishamaliza dozi ndo mwisho?
  8. D

    Kuhusu dynapharm products and the like..

    majina ni chlorophyl, sea cucumber, green tea na kahawa mengine yana majina magum hayaandikik
  9. D

    Kuhusu dynapharm products and the like..

    Habari zenu wana jf., nimepima afya kwa kutumia kifaa chao kinatumia magnetism,,report inaonesha nina magonjwa ingawa sio ya kutisha...daktari kaniandikia kutumia dawa zao ambazo ni ghali sana,. SWALI. kwa walio kwishatumia dawa hizi ni kweli hazina madhara ya papo hapo au baadae? Ushauri wenu...
  10. D

    Msaada wa blog

    www.blogspot.com au worldpress kama sijakosea..hiyo kwanza lazi uwe na gmail acount
  11. D

    Ingekuwa vipi?...

    Ha ha ha dah...sijui ni edit kidogo?.. make mheshimiwa pancrease kumbe anapiga sana...itibid nikimbilie jukwaa la siasa make kule huwa hafiki.,lol.
  12. D

    Ingekuwa vipi?...

    Najaribu kufikiria kama Jamii forums ingekuwa inafanyika sehem ya wazi kama uwanja wa mpira au zaidi ya hapo na hapo kuna haya majukwaa mbali mbali kama ilivo sasa hivi na mtu unaruhusiwa kuchangia post na kumove kutoka jukwaa moja hadi jingine...sasa siwapatii picha wanaokuwa online 24/7 na...
  13. D

    Dawa na njia mbadala za Kupunguza unene/uzito | Weight Loss techniques and advice

    Mkuu usikimbilie kutatua tatizo tafuta kwanza nini chanzo cha kitambi? Kilitokana na nini? Anagalia vyakula unavyokula, na staili ya maisha.... kutoa kitambi sio kazi rahisi unatakiwa uwe na nidhamu katikta ukaji na kufanya mazoezi hakuna shortcut...kwa kuanzia acha tabia ya kunywa maji ya...
  14. D

    Karibu Chuo Kikuu cha Kilimo cha Sokoine, Morogoro

    Wanafanya sana umalaya...sema sio kama vyuo vingine... Kaumba, guest h za msamvu zinawahusu sana...sema kama we hujiusishi hata kama unasoma sua huwezi jua kama watu wanabanduana sana.....umalaya hulka ya mtu tu hata kama anakimbizwa na chui libido likimpanda lazima aliondoe kwanza..
  15. D

    Mwanaume kama mwanamke

    Pole kwa yaliyokukuta...nimeipenda stail yako ya uwasilishaji mada..kama shaban robert vile.
  16. D

    Mmmh: Still loved . . .

    Mh...pancrease jaribu kundika kwa kiswahili au kilugha chako....itanogage?
  17. D

    Naona BORA TUACHANE MAANA NAHISI NAKUBOA...

    huyo jamaa ako naona kazi ya kusokota mpini haimudu vizuri ndo maana anadharaulika...mwambie ajifunze sio kila kitu tunazaliwa tunajua...
  18. D

    before marriage and after marriage:je ina kaukweli kidogo

    Duh!..nimecheka sana..hii ni mara yangu ya tatu toka nimejiunga JF. Asante kwa kuongeza siku za kui..
Back
Top Bottom