Kaldinali=pengo..
Nenda sinza shuka kituo kiko karibu na msikiti kama utapanda magari yanayotokea shekilango ulizia maeneo hayo karibu na huo msikiti kuna technishian anatoa huduma hiyo,.,...kama ukikwama utani pm nikupe contact zake kama we ni ke.
Habari zenu wana jf., nimepima afya kwa kutumia kifaa chao kinatumia magnetism,,report inaonesha nina magonjwa ingawa sio ya kutisha...daktari kaniandikia kutumia dawa zao ambazo ni ghali sana,. SWALI. kwa walio kwishatumia dawa hizi ni kweli hazina madhara ya papo hapo au baadae? Ushauri wenu...
Najaribu kufikiria kama Jamii forums ingekuwa inafanyika sehem ya wazi kama uwanja wa mpira au zaidi ya hapo na hapo kuna haya majukwaa mbali mbali kama ilivo sasa hivi na mtu unaruhusiwa kuchangia post na kumove kutoka jukwaa moja hadi jingine...sasa siwapatii picha wanaokuwa online 24/7 na...
Mkuu usikimbilie kutatua tatizo tafuta kwanza nini chanzo cha kitambi? Kilitokana na nini? Anagalia vyakula unavyokula, na staili ya maisha.... kutoa kitambi sio kazi rahisi unatakiwa uwe na nidhamu katikta ukaji na kufanya mazoezi hakuna shortcut...kwa kuanzia acha tabia ya kunywa maji ya...
Wanafanya sana umalaya...sema sio kama vyuo vingine... Kaumba, guest h za msamvu zinawahusu sana...sema kama we hujiusishi hata kama unasoma sua huwezi jua kama watu wanabanduana sana.....umalaya hulka ya mtu tu hata kama anakimbizwa na chui libido likimpanda lazima aliondoe kwanza..
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.