Habari zenu wana jf., nimepima afya kwa kutumia kifaa chao kinatumia magnetism,,report inaonesha nina magonjwa ingawa sio ya kutisha...daktari kaniandikia kutumia dawa zao ambazo ni ghali sana,. SWALI. kwa walio kwishatumia dawa hizi ni kweli hazina madhara ya papo hapo au baadae? Ushauri wenu jamani kabla sijaanza kutumia.....