kaka yani katika thread ya maana kwene jf kuliko zote..kuanzia jf imeanzishwa nii..uko vizuri kaka uliyoyasema ni kweli mtupu..
Solution...usikubali kuoaa wala kuwa na demu...kuwa single tu..achna nao hawana jipya...wameumbwa ajili yetu...so ...hawa ni vivumishi tu kwene maisha...achana nao
Old moshi ni Tarafa na si kabila Kuna tarafa ya old moshi mashariki na magharibi tarafa ya old moshi mashariki kuna vijiji vya tela, mbokomu, mahoma, kikakarara,kisamo,kidia tarafa ya old moshi magharibi kuna vijiji vya mdawi, kirrua, mowo nk..na ndani ya hivyo vijiji kuna mitaa kama maemben...
mbona sisi Waarusha hamtudiscuss na kila iku maneno mapya ya lugha yanaanzia Rchuga..mfano wiki mbili zilizopita tumeanzisha neno jipya ..KWIKWI LAANA..YANI NZURI SANA..MANENO YOTE YAKO ARUSHA
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.