Ndugu si busara kutoa maneno kama haya katika tangazo la mwenzako. Tabia kama hizi ni sawasawa na Uchawi wa wazi tu. Labda hujawahi kuweka tangazo ukafanyiwa dhihaka kama hizi. We ukiona tangazo halikuhusu lala mbele.
Absolute right.
Alafu anajibu kirahisi tu. Inakatisha tamaa Sana hii.
Kuna jamaa yangu yupo njombe anaielewa vizur kabisa hii ishu ila watu wanavyoitafsiri ni tofauti kabisa yn
Utopolo wanjidanganya *****.
1.Nidhamu yenu ya mchezo ni mbov kinoma
2 litimu bado halijaunganika vizuri alafu mnafoc kucheza kwa speed na kukamia matokeo yake pira lenu linakuwa la kihuni 2.
3. Kisingizio cha kadi ni ushamba tu. Sisi tumeshawahi kuwapiga nyinyi mech 5 tukiwa pungufu
4. Kama...
mkuu Karibu Sana kwenye kitengo hiki "Content creator" jaribu kujiunga na freelancing site then ujitangaze kule utapata tu wadau wanaohitaji.
Pia Tengeneza hata page yakwako mwenyewe na uwe unapost ili ukipata deals ni simple kufanya reference kupitia Kazi zako mwenyewe
Kwenye thread pale chini amemaliza kwa kusema "huu uzi unawahusu wafanyabiashara wa makopo tu". Sasa mazazwa yanaharibu uzi.
Hii ni fursa kama mtaani kwako hakuna center ya kukusanya makopo
Unaweza fungua na waokotaji wakaja kuyauza kwako
Jitahidi Kushiriki vizuri katika matukio ya kijamii. Huku ndipo connection zinapatikana kwa haraka.
Usisubiri kuambiwa nenda Kanisani.
Pub & restaurant by
Attend sherehe mbalimbali
We foc tu connection na kama utapata camera yako we zuga nayo itakutengenezea jina
Thanks mr Jasmoni Tegga for your reply. There is one thing you should get to know, in life we start doing what is necessary then we do possible thing n when we got to alot of opportunities and experience we can do whatever seemed impossible.
I got Great deal ( u can review my latest threads)...
Asilimia kubwa ya wateja wangu ni wanachuo hivyo nimeona nishare nanyi wengine mliopo/mnaotarajia kwenda chuoni. Kuna hii side hustle ya kuuza vifaa vya simu. Especially charger na cover za simu.
Usb ya Nokia nitakuuzia kwa Elfu 3000 (nawe unaweza kuuza Hadi elfu10 kulingana na sehemu uliyopo)...
Pengine upo chuoni lakini unapata taabu ya kununua accessories hizo, nipo hapa nitakusaidia kwa bei chee kabisa. Jipatie charger za aina mbalimbali kwa bei rahisi kabisa kuanzia sh 1000-5000 karibuni sana popote pale nitakufikia.
Hii ni kwa wauzaji wa vifaa vya simu na mafundi wanaotengeneza simu. Jipatie usb na charger kwa bei ya jumla. Nina usb hizi original za Nokia ninauza sh. 5000(rejareja) Ukichukuwa nyingi napunguza Hadi sh 3000. Ni usb og pia hutumika kuflashia simu.
Pia nina charger za itel na tecno nitakuuzia...
Naunga mkono hoja hii.
Kwa mfano hii ishu inaweza mfaa zaidi mtu aliye Karibu na stand mbezi, that means atatembea tu kwa mguu na msosi atamendea nyumbn kwao simple yan.
Kuna kipindi mimi binafsi ilinibidi nizuge na ishu fulani ili mradi tu nisishinde nyumbn bure siku nzima
#ninamshukuru Mungu
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.