nlidhani nko mwenyewe kumbe tuko wengi yaan demu maslahi yake anatak atimiziwe ila yako kukutimizia sahau.....na bora na ww ankup visingizio me wangu ananyooka straight ansema hawezi kuja afu nikiuchuna hata wiki na yye vivyo hivyo anauchuna....ila maamuzi ya mwisho ni kutafuta ustaarabu...
Wadau nataka kufungua ofisi ya uwakala wa huduma za kifedha za simu. Sasa sijui utaratibu unakuwaje ili kufanikisha jambo langu.
Mwenye ujuzi naomba msaada hapo
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.