Habari za leo wan JF. Nawaombeni msaada wenu. Mtu toka S.Africa ameniandikia kunipa ofa ya kurithi leseni ya marahemu David Rusell aliyefariki kwa ajali. Baada ya mawasiliano marefu amenitumia email hapa chini ikitaka niende South Africa tukasaini mkataba ili leseni ya biashara iwe yangu...
Naomba msaada. Nitakaa korogwe kikazi kwa muda wa mwezi 1 hivi. Budget yangu ya guest house ni sh 15000-20000. Kwa mnaoifahamu Korogwe niwaombe msaada wenu. Ipi ni lodge nzuri kwa budget hii niliyopewa. Kwa sasa niko Newala. Mungu awabariki.
Tunatafuta mfanyakazi wa ndani (house girl).
Tunaishi kibamba . Mimi na mke wangu ni watu wazima tumeajiri na hatuna mtoto mdogo. Awe mpenda usafi na mcha Mungu. Tutamsaidia kuendelea kielimu akipenda.
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.