Kiwanda kikubwa cha Avdiivka Coke Plant kimeangukia kwenye mikono ya Warusi.kuanguka kwa Adviivka coke plant inaonyesha jinsi gani defence ya mji wa Avdiivka imeferi.
Warusi sasa wanafanya mashambulizi makubwa zaidi ili kuingia katikati ya mji
Natafuta mwanamke wa kuwa na mahusiano nae.
*Nilikuwa na mke ila kwa sasa tumetengana
*nina mtoto 1
*Kipato changu cha kawaida sana(kidogo)
*Umri wangu miaka 30
*sichagui umri wala idadi ya watoto uliokiwa nao, kikubwa kupendana na kujali afvya ndo kitu muhimu sana maana dunia imebadilika...
Fundi umeme wa majumbani nipo hapa dar es salaam ila naenda sehemu yoyote ile.nafanya wireling ya kisasa kabisa na nina uzoefu wa kazi nyingi tu.
Nitafute tufanye kazi kindugu kutokana na hali ya maisha ilivyo.
Pia nafunga vifaa vya umeme kama vile heater, mafeni , pump.na madishi pamoja na...
Nyumba ya kawaida yenye eneo kubwa inauzwa maeneo ya kipunguni B(moshi bar).ukubwa wa eneo ni (mita 25 kwa mita17). Lipo mbele kabisa na barabara ya mtaa na pia lipo mita 350 kutoka barabara ya rami.
Bei Tsh 20 milioni
Kwa mawasiliano piga namba 0652868486
Sent using Jamii Forums mobile app
Feni aina ya Evernal inauzwa kwa bei poa kabisa yani sawa na bure.
Wala aina tatizo lolote lile na kama ukitaji kufungiwa basi utaongeza elfu 10.
Nipo Dar
Mawasiliano: 0652868486
Sent using Jamii Forums mobile app
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.