Pale Lindi Sekondari tumetumia sana maji ya Bomba na tulikuwa tunayaita ya Sabodo maana tuliambiwa aliyefanikisha yafike shuleni aliitwa Sabodo.
Mpaka namaliza form 6 pale 2016 sikuwahi kumfahamu kabisa Sabodo hata kidogo.
Yale maji yalikuwa na chumvi sana, ukiyaoga lazima utumie Omo ili...
Kwa Kipimo kingine, mizimu ndiyo miungu pia. Kuna jamii ambazo ziliamua kuabudu wale watu ambao walionesha uwezo mkubwa sana na hivyo hata wale watu walipokufa sifa zao ziliendelea kutangazwa kwa utukufu mkubwa.
Yesu ni mfano wa watu waliotukuzwa na kuitwa Mungu.
Krishina na wengine wengi...
Hapana, Ibada ni kwa Mizimu au Wahenga au Mababu.
Hierakia iko hivi;
MUUMBA ambaye kihalisia ni Giza la Kimiminika (Fluid Darkness)
Sheria za MUUMBA (Divine Laws)
Viumbe katika familia zote. Hapa ndipo wanakaa na Wahenga.
Maat au Sheria za watu kuhusu mazingira. Hapa ndipo mahusiano ma...
Hata sisi tulishindwa kuilinda mizimu maana swala la ulinzi ni la pande zote.
Unavyoona waislam wanafanya jihad na wanasambaza dini kwa njia zote wanazoweza, wanalinda jina la Allah na nguvu zake. The same kwa Wakristo.
Unatakiwa kuwalinda mizimu yako na kuorithisha kwa kizazi kijacho ili...
Ndio maana nikasema Kuna utata katika kiuelewa haya mambo. Uelewa kuhusu Mungu una utata mwingi maana Kila kundi linafafanua Mungu kwa uelewa wao. Binafsi sipendi kulejelea uumbaji kwa kutumia Mungu.
MUUMBA aliweka taratibu au Sheria zitakazosimamia Uumbaji na viumbe wote bila ubaguzi au...
Iko hivi;
Kuna uhalisia, kuna zana na kuna maana walizonazo watu kuhusu uhalisia na zana.
Uhalisia ni jumla ya mambo yote yaliyo nje ya utawala wa mtu.
Zana ni jumla ya vifaa anavyotengeneza mtu ili kumsaidia kuenenda katika mazingira na kukabiliana na changamoto na vikwazo vya kimazingira...
Asante kwa tafakari nzuri.
Ninachokiona hapo ni utata tu kuhusu uelewa kuhusu Mungu. Kimsingi napendelea sana matumizi ya neno MUUMBA kwasababu halileti utata sana kiuelewa. Chukulia Mungu kama sehemu ndogo tu ya uelewa wa Kundi fulani dogo kwenye kundi kubwa la watu kuhusu nguvu ya asili...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.