Habari, Hii siku ya tano sasa nikienda kukata gogo kwa choo harufu inayotoka si mchezo, mi mwenyewe nataka kukimbia, utadhani mfereji wa maji machafu. Jamani ni tatizo gani hili!!.
Wengi tumezoea kuingia yatosha. Lakini utakuta muda wa maongezi umeisha lakini MB za Internet hujatumia hata kidogo. sasa kwavile nakuwa nahitaji tena muda wa maongezi inabidi niingie yatosha tena. Nikiingia tena zile MB za awali zinafutika kabisa, sasa huwa zinaniumaga sana. Kwanini hizo MB...
Mfa maji haachi kutapatapa!!. Kama hayo unayongea ndio uhuni kwa chadema, basi kuna chama kitakuwa na u-professor kabisa kwenye hayo mambo wakati chadema ndio kwanza hata chekechea hawajamaliza.
Kila la kheri huko uliko na wanaokutunza.
Kama hujawai kuambiwa na mkeo kwamba we ni mtamu. Basi ujue umrizishi mkeo. Jaribu kuwa mbunifu katika mwaka huu wa 2013 hadi siku ukisikia mkeo kakwambia hivyo ujue umefaulu.
Happy New Year.
Yanini niumize kichwa mie, una-assume tu hakuna kidumu kilichopita!!, songa mbele na maisha. Kama ni mpango wa Mungu atakuonyesha tu kwa namna yoyote ile kwamba mwenzio anacheza rafu.
Tabia zingine nadhani ni hulka za watu, Kila chuo kinasemwa kwamba hao watu wapo, wengine hata sio wanafunzi ila wanajichanganya na wanafunzi au maeneo ya wanafunzi ili wajiongezee soko. Mjini shule.
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.